View attachment 3449648
Unataka kufuga kwa faida kubwa lakini changamoto zimekuwa nyingi?
ππΎ Chakula cha mifugo ni gharama, magonjwa yamekuwa kikwazo, au hujui ujenzi sahihi wa banda/bwawa?
Sasa ni muda wa kubadilisha hali hiyo!
Rubaba Media inakuletea
Mafunzo ya Vitendo kwa Wafugaji, yakikupa maarifa ya moja kwa moja, kwa kushika na kufanya, siyo nadharia pekee.
Utajifunza kwa vitendo:
β
Jinsi ya kutengeneza na kupangilia lishe bora ya mifugo yako
β
Kinga na tiba za magonjwa makuu ya ngβombe, kuku, nguruwe na samaki
β
Mbinu sahihi za kujenga mabanda/bwawa kwa gharama nafuu
β
Njia bora za kuongeza uzalishaji na faida
Taarifa Muhimu
π
Muda: Siku 3 (au chagua somo moja)
π
Mahali: Mwanza
π°
Ada ya ushiriki:
- Full Package (siku 3 + cheti): Tshs 280,000
- Somo moja (siku 1): Tshs 100,000
π Washiriki wote watapewa
Vyeti vya Ushiriki
π Kwa wanaohitaji, huduma ya afya/maradhi pia itatolewa
β οΈ
Nafasi ni 10 pekee ili kila mshiriki apate mafunzo ya kina na ya vitendo.
π Jiunge sasa:
Rubaba Media (Simu/WhatsApp)
ππΎ Usikose nafasi yako β jiandikishe mapema kabla hazijaisha!
π‘
βMafanikio yako kwenye ufugaji yanategemea maarifa unayoyapata leo.β