Jamani uteuzi wa wanachuo ulitumia kanuni gani? Kama wenye principle pass na subsidary wanaachwa, tusomee kozi gani? Je wanajanvi nisaidie kunanjiagani nyingine ili nipate nfsi ktk vyuo vya serikali?
Jamani uteuzi wa wanachuo ulitumia kanuni gani? Kama wenye principle pass na subsidary wanaachwa, tusomee kozi gani? Je wanajanvi nisaidie kunanjiagani nyingine ili nipate nfsi ktk vyuo vya serikali?
mkuu kutakuwa kuna vigezo ulikosea mfano labda haukupeleka vyeti vyako vikawe certified mahakamani au labda kigezo kingine coz kuna watu nawajua wana 4 za mwisho na wamepata..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.