Mafunzo ya mifugo na kilimo

Mafunzo ya mifugo na kilimo

MKT

Member
Joined
May 10, 2019
Posts
10
Reaction score
53
Mifugo Tz inawashukuru sana SUGECO kwa kuratibu mafunzo ya kwa #vijana yalio fadhiliwa na FAO(Food and Agriculture Organization)

Tunawashukuru kwa kutambua uwepo wetu Mifugo Tz na kutupa dhamana ya kuwafundisha #vijana #mafunzo ya #ufugaji bora wa kuku.

Hii moja ya utekelezaji wa sera ya kilimo yenye lengo la kuinua #uchumi na kupambana na tatizo la #ajira kwa #vijana - Tanzania.

#Kilimo na #mifugo ndio sekta ilyio ajiri #vijana wengi hivyo maboresho na utekelezaji wa sera ya #kilimo ndio njia rahisi ya kuwakwamua kijana kiuchumi.

Kupata huduma wasiliana nasi kupitia

simu:
+255 712 253 102(WhatsApp)
+255 765 291 489
+255 625 994 023

Email:
mifugotz@gmail.com

@mifugo_tz
@kilimo_tz
@afyakiganjani

#mifugo #mifugotz #kilimotz #kilimo #drkessyvet #kuku #broiler #tanzania l #bata #kuchi #kilimoufugaji #kilimanjaro #sungura #vifaranga #daktariwamifugo #afyakiganjaniView attachment 1101291View attachment 1101292
IMG_20190518_144947_662.jpeg
View attachment 1101293
 
Back
Top Bottom