Mafunzo ya kumjua mwema na mbaya

Mafunzo ya kumjua mwema na mbaya

Joined
Mar 8, 2017
Posts
2
Reaction score
1
Habari zenu ndugu zanguni katika ukurusa huu wa jamii forums naomba kupata mafunzo maalum yakuweza kumjua mtu alie na wema kwangu na alie mbaya kwangu na nipate mafunzo ya kuweza kuwasoma watu wenye tabia mbali mbali.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Anza kujifunza namna ya kujisoma wewe mwenyewe mpaka ufikie stage ya kutambua madhaifu yako na uimara wako katika mazingira tofauti, na pia uielewe mtazamo wako kiundani katika vitu, mazingira na hata uwapo miongoni mwa watu!! ukijijua wewe mwenyewe kiundani zaidi, hakuna atakaye kisumbua kichwa mkuu na mtu kukudanganya itakuwa rahisi sana kugundua! Ila ukifanikiwa kuwa humble na uwe na moyo wa kuachilia mambo kama yalivyo!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu mwema na mbaya huwezi mjua unaweza juwa huyu ni mwema kumbe ndio mbaya zaidi kikubwa umakini tu mkuu ukiwa na mtu usimwamini sana
 
Back
Top Bottom