Achana Nao hao Kijana Njoo Tukufundishe COMBAT KARATE ambayo Hizo Zote za Kipuuzi puuzi Ulizozitaja au Walizozitaja Wenzio Zimejumuishwa Ndani na Uzuri wa Hii Si Ya Kujeruhi tu bali Hii Ukigusa tu Umeua na Uwe Tayari Kupiga Kupasua Jiwe Kwa Kichwa, Kupiga Ngumi ktk Metalic Punching Bag, Kupiga Msamba ktk Chupa za Bia au za Soda, Kufunga Kunya ( HAJA KUBWA ) kwa Miezi Mitatu, Kuweka Viganja Vya Mikono Yako ktk Mchanga wa Moto Mkali Sana ili Kuondoa Ganzi, Kukata Mti Kwa Kupiga Kwa Sehemu Ya Ugoko Ya Miguu Yako, Kuruka Sarakasi za Kila Aina, Kuruka Kutoka ktk Ghorafa Ya Kuanzia Ya Pili au Ya Tatu Miguu Peku ili Kukomaza Kisigino na Mguu Wako na Mwisho Kabisa Uwe Tayari Kupambanishwa na Chui Chumbani Kwa Dakika 15 tu na Ukifa Shauri Yako! Jiandae Pia Kwa Mazoezi Ya Kupasha Mwili Kila Siku Kwa Kukimbia kutoka Dar hadi Chalinze Kwa Spidi Kali na Hakuna Kusimama au Kuzunguka Uwanja wa Mpira Mara 500 Kwa Spidi Kali na Kubwa. Hiyo Ndiyo Combat Karate na Contents zake ndiyo Hizo na Ukihitaji Hiyo Kozi Nitafute ili Nikufanyie Interview Ya Kwanza tu Ambayo ni Ya Kupima URIJALI wako ambapo UTATAKIWA KUSIMAMISHA CHUPA YA MAJI KUBWA YA KILIMANJARO ktk UUME WAKO ( MBOO YAKO ) KWA DAKIKA 5 tu na Ukishindwa hiyo Interview Ndogo tu na Nyepesi basi Hutakuwa na Sifa Ya Kujumuika Nasi ktk Combat Martial Arts Training na Tutakushauri tu Uendelee na Hao akina Sensei Wenu na Karate Zenu za Kishoga.