Mafunzo ya computer

Mafunzo ya computer

brooo

Member
Joined
Mar 21, 2015
Posts
13
Reaction score
2
Naomba kufaham vipi naweza kupata mafunzo ya computer humu jf
 
mkuu mi mwenyewe nahitaji kwani unatakiwa uanze na course ipi na uishie ipi nimekua interested


inategemea uko katika hatua gani, kama ndio unaaza mwanzo kabisa basi unahitaji kusoma basic office applications kama MS Word, MS Excel na Access
 
Ujue mtoa mada umeongea kijumla mno,ngoja mi nikuulize unataka mafunzo ya kuitengeneza yenyewe au ni kama wanavyokuelekeza wadau hapo juu ????????? mana computer inavitu vingi mno kutegemea na fani uliyonayo
 
Hapana,ni kwamba mimi ni mgeni kuhusu matumizi ya computer hata yale ya kawaida kama vile microsoft words and exel,hivyo nilikua naomba msaada kama humu jf naweza kupata japo kama video zinazohusu kufundisha hizo course
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom