GIUSEPPE JF-Expert Member Joined Dec 31, 2011 Posts 5,239 Reaction score 6,240 Dec 17, 2015 Thread starter #21 Sirdirashy said: Mm nikafikiri huyo fundi kakosea kajenga eneo la wazi kumbe kajenga ndipo kabisa safi sana na huo mshono ndio Click to expand... Sasa kujenga eneo la wazi nimakosa? Maeneo yote kabla ya kujengwa lazima kwanza yawe wazi.
Sirdirashy said: Mm nikafikiri huyo fundi kakosea kajenga eneo la wazi kumbe kajenga ndipo kabisa safi sana na huo mshono ndio Click to expand... Sasa kujenga eneo la wazi nimakosa? Maeneo yote kabla ya kujengwa lazima kwanza yawe wazi.
GIUSEPPE JF-Expert Member Joined Dec 31, 2011 Posts 5,239 Reaction score 6,240 Dec 17, 2015 Thread starter #22 SHIEKA said: Kuzaliwa mwanaume shida/kazi sana Kasinde.Mleta picha anajua hivyo ndo maana katudanganya na vitofali! Click to expand... Sikuwadanganya hapo ni kwangu na fundi nimegoma kumlipa kaenda nishitaki ofisi ya kata, na huyo msichana ni sekretari wa ofisi ya kata ameniletea wito kuwa nahitajika ofisi ya kata. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
SHIEKA said: Kuzaliwa mwanaume shida/kazi sana Kasinde.Mleta picha anajua hivyo ndo maana katudanganya na vitofali! Click to expand... Sikuwadanganya hapo ni kwangu na fundi nimegoma kumlipa kaenda nishitaki ofisi ya kata, na huyo msichana ni sekretari wa ofisi ya kata ameniletea wito kuwa nahitajika ofisi ya kata.
M Mr Rocky JF-Expert Member Joined Oct 10, 2007 Posts 15,178 Reaction score 14,383 Dec 17, 2015 #23 Fundi kakosea sana vitofali vimekaa vibaya sana na havijasuguliwa
M mkagulu original JF-Expert Member Joined Dec 30, 2013 Posts 703 Reaction score 172 Dec 17, 2015 #25 wapi shekhe kipozeo!!!!!?
mankachara JF-Expert Member Joined Sep 27, 2013 Posts 6,161 Reaction score 3,495 Dec 18, 2015 #26 sijaona tofali, sijui nina matatizo ya macho
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 166,239 Reaction score 184,947 Dec 18, 2015 #27 Hicho chekundu ndiyo kimewekwa mahali sipo.
zuumwang Member Joined Dec 16, 2015 Posts 36 Reaction score 10 Dec 18, 2015 #28 Anaonekana ni mwanaume kabisa huyu wala si dada!
Transcend JF-Expert Member Joined Jan 2, 2015 Posts 20,553 Reaction score 63,058 Dec 18, 2015 #29 Mtoto ana "alaji" kubwa..! Imagine ako kwa bed with you !
theki JF-Expert Member Joined Nov 1, 2013 Posts 2,721 Reaction score 587 Dec 18, 2015 #30 momo j said: Wanaume tuko tofati sana; Mimi ndo sinaga mzuka na wadada km huyu. Mi napenda awe mwembamba kiasi. Click to expand... Hapo hujaulizwa?
momo j said: Wanaume tuko tofati sana; Mimi ndo sinaga mzuka na wadada km huyu. Mi napenda awe mwembamba kiasi. Click to expand... Hapo hujaulizwa?
GIUSEPPE JF-Expert Member Joined Dec 31, 2011 Posts 5,239 Reaction score 6,240 Dec 18, 2015 Thread starter #31 mankachara said: sijaona tofali, sijui nina matatizo ya macho Click to expand... Hapana, huna matatizo ya macho, shida ni kuwa unatumia jicho la chini
mankachara said: sijaona tofali, sijui nina matatizo ya macho Click to expand... Hapana, huna matatizo ya macho, shida ni kuwa unatumia jicho la chini