Hata Watanzania wote tung'olewe figo ziuzwe kwa wenye uhitaji ndani na nje ya nchi kodi za ndani haziwezi kuendesha nchi ktk hasa kwa miradi mikubwa ya maendeleo. Huu ni uwezo mdogo wa kufikiri kwa aina ya viongozi tulionao ktk sekta toafouti tofauti.Mafundi wanaotengeneza simu huko mitaani na Maduka yote yanayouza Simu, Radio na TV kwa mujibu wa Sheria wanatakiwa wawe na Leseni kutoka Mamlaka ya Mawasiliano, mbali na leseni ya biashara”- Francis Msungu, Mkurugenzi wa TCRA Kanda ya Kaskazini.
Sasa na sisi mafundi wodogo wadogo wa simu tutafanya nnHili swala lilishawahi kuja huko nyuma wakati wa mkwere,wadau walipolalamika likafa tena ilikuwa inasema leseni ya kuuza simu ni 10milioni.
Mkuu naomba Master Plan yako!Sasa hivi tutajikuta tunayapenda zaidi maisha ya kijijini kuliko mjini. Ni nishazoea huku ni jembe kwa kwenda mbele kila jumamos tunaangusha mbuzi camp.
Ngoja nikishavuna nitakushirikisha awamu ijayo ndio big plan.Mkuu naomba Master Plan yako!