Mimi binafsi nimeibiwa tatu mpaka sasa. Bahati yangu huwa zinakuwa na nyimbo na picha za kawaida tu. Juzi rafiki yangu nao kakutana na wizi wa memory card, kapeleka simu yake kwa fundi, nikamwambia atoe kabisa memory card. Akasahau kuitoa. Baada ya siku tatu akaipitia simu yake kwa bahati mbaya hakukagua memory. Kufika home kucheki hamna.
Kumwambia fundi, fundi kasema hakuichukua wala kuiona. Ukweli mafundi simu uiba memory card za wateja. Kwa kuziuza tena kwa wateja wengine. Ama kuvujisha picha ama video.
Nawashauri kabla ya kumkabidhi fundi simu toa memory card yako.
Kumwambia fundi, fundi kasema hakuichukua wala kuiona. Ukweli mafundi simu uiba memory card za wateja. Kwa kuziuza tena kwa wateja wengine. Ama kuvujisha picha ama video.
Nawashauri kabla ya kumkabidhi fundi simu toa memory card yako.