Mi nipo Mwanza na ni fundi simu hili suala la kubadili Imei no.mi naona halipo kwa sasa na TCRA Mwanza wametudhibiti sana na tumeshaelewa ni kosa la jinai na siamini kama kuna fundi anayeweza kubadili imei no.Mwanza wewe kama unabisha ukija Mwanza kama haupo hapa jaribu kizungu na simu yako ukitaka ku change imei no.hakuna atayepokea simu yako,nani asiyeogopa Tcra? Nani anayependa kufungwa au kulipa mamilioni kwa ajiri ya kuchange imei no.? Huku Mwanza Tcra wapo Moto,kiasi kwamba ukileta simu yako mafundi wanajua umetumwa na TCRATunaomba wahusika TCRA watuelimishe imekaaje hadi mafundi mitaani waizidi serkali akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukifika Mwanza zunguka na simu yako ukitaka ibadirishwe hutafanikiwa babaMi nipo Mwanza na ni fundi simu hili suala la kubadili Imei no.mi naona halipo kwa sasa na TCRA Mwanza wametudhibiti sana na tumeshaelewa ni kosa la jinai na siamini kama kuna fundi anayeweza kubadili imei no.Mwanza wewe kama unabisha ukija Mwanza kama haupo hapa jaribu kizungu na simu yako ukitaka ku change imei no.hakuna atayepokea simu yako,nani asiyeogopa Tcra? Nani anayependa kufungwa au kulipa mamilioni kwa ajiri ya kuchange imei no.? Huku Mwanza Tcra wapo Moto,kiasi kwamba ukileta simu yako mafundi wanajua umetumwa na TCRA
.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahyo Tanzania ni Mwanza tu Si ndiyo.?Ukifika Mwanza zunguka na simu yako ukitaka ibadirishwe hutafanikiwa baba
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi naona huku wanakomaa sana sijui sehemu nyingineKwa hiyo TCRA inafanyakazi mwanza pekeee?
Mi nipo Mwanza na ni fundi simu hili suala la kubadili Imei no.mi naona halipo kwa sasa na TCRA Mwanza wametudhibiti sana na tumeshaelewa ni kosa la jinai na siamini kama kuna fundi anayeweza kubadili imei no.Mwanza wewe kama unabisha ukija Mwanza kama haupo hapa jaribu kizungu na simu yako ukitaka ku change imei no.hakuna atayepokea simu yako,nani asiyeogopa Tcra? Nani anayependa kufungwa au kulipa mamilioni kwa ajiri ya kuchange imei no.? Huku Mwanza Tcra wapo Moto,kiasi kwamba ukileta simu yako mafundi wanajua umetumwa na TCRA
.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuuAkili ndogo Kudhibiti akili kubwa ni zoezi tosha fikirishi sana , Na hakuna wa kuweza kushirikiana nao kama vijana walio hitimu masomo ya Information Technology (IT) Eti kuna mtu anaweza kutamka kwa mdomo wake kumwambia mwanafunzi aliehitimu masomo ya Information Technology (IT) Eti " IT ni ujanja ujanja tu mwisho wa siku wanakutana kwenye PRACTISE...
Matokeo yake ndiyo haya mnaanza kuwaomba TCRA wajaribu kuona wanazuiya vipi hili Tatizo...
Mimi maoni yangu wakae na vijana wanaofanya izo shuhuli za kubadili Imei Number wajuwe wanafanya je ili waweze kushirikiana na kuziba au kushauriana njia gani itumike kuzuiya huo mziki mnene......
Na vilevile waheshimiwa tunaomba watoe Support kwa vijana wenye ujuzi huo ili waweze kujua na kufanyia kazi katika kipindi hiki cha TECHNOLOGY ENDELEVU...
Ila Tutorial zipo nyingi sana kwa ajili ya kuonyesha jinsi ya kubadili au koweka imei number kwenye simu Na zikiwa zimewekwa na makampuni husika kwa kuwa waligunduwa kuwa baadhi ya vifaa vyao wenyewe vinatatizo hilo la kupoteza Imei number sana sana kwenye simu zinazotumia Software ya Adroid...kwa Upande Apple Internetwork Operating System (IOS) hauwezi kubadili emei number....
NB:- MSITOE AU KUBADILI imei Number kisheria ni kosa ,,,,,,,,,Asanten!
Mkuu kiuhakika TCRA hawawezi kuzima isipokua wanachofanya ni kupitia sheria zake zinawalazimisha makampuni ya simu kutoruhusu simu fake au zenye imei fake kuweza kufanya mawasiliano.Kwanza kabisa walitangaza kuzima simu zote ambazo ni bandia lakini cha ajabu ni kwamba TCRA hawana uwezo wa kuzima simu bandia.
Mafundi simu wana akili kuliko TCRA kwa sababu wana uwezo wa kubadli IMEI namba ya simu yeyote. Simu mbovu original imei namba yake inawekwa kwenye simu fake na inafanya kazi kama kawaida.
Simu zilizoibwa na wenyewe wakaamua kuzifunga ili alieiba ashindwe kutumia zoezi hilo haliwezekani kwa sababu mafundi simu wanabadili IMEI namba na simu inaendelea kufanya kazi kama kawaida.
Kwa hiyo wizi wa simu ni kama kawaida tu. Baadhi ya mafundi simu wameandika tangazo kabisa kuwa pamoja na kutengeneza simu pia anabadili IMEI namba. Sasa je TCRA wanajua hili na kama wanajua ina maana wamezidiwa ujanja na mafundi?
Tunawaomba TCRA watujulishe kuwa haya mambo mawili niliyoyataja yako nje ya uwezo wao na hivyo masimu fake yaendelee kuzagaa kuliko ilivyo kuwa mwanzo. Na wezi nao waendelee tu kuiba simu za watu.
Sent using Jamii Forums mobile app