Kwanza kabisa walitangaza kuzima simu zote ambazo ni bandia lakini cha ajabu ni kwamba TCRA hawana uwezo wa kuzima simu bandia.
Mafundi simu wana akili kuliko TCRA kwa sababu wana uwezo wa kubadli IMEI namba ya simu yeyote. Simu mbovu original imei namba yake inawekwa kwenye simu fake na inafanya kazi kama kawaida.
Simu zilizoibwa na wenyewe wakaamua kuzifunga ili alieiba ashindwe kutumia zoezi hilo haliwezekani kwa sababu mafundi simu wanabadili IMEI namba na simu inaendelea kufanya kazi kama kawaida.
Kwa hiyo wizi wa simu ni kama kawaida tu. Baadhi ya mafundi simu wameandika tangazo kabisa kuwa pamoja na kutengeneza simu pia anabadili IMEI namba. Sasa je TCRA wanajua hili na kama wanajua ina maana wamezidiwa ujanja na mafundi?
Tunawaomba TCRA watujulishe kuwa haya mambo mawili niliyoyataja yako nje ya uwezo wao na hivyo masimu fake yaendelee kuzagaa kuliko ilivyo kuwa mwanzo. Na wezi nao waendelee tu kuiba simu za watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mafundi simu wana akili kuliko TCRA kwa sababu wana uwezo wa kubadli IMEI namba ya simu yeyote. Simu mbovu original imei namba yake inawekwa kwenye simu fake na inafanya kazi kama kawaida.
Simu zilizoibwa na wenyewe wakaamua kuzifunga ili alieiba ashindwe kutumia zoezi hilo haliwezekani kwa sababu mafundi simu wanabadili IMEI namba na simu inaendelea kufanya kazi kama kawaida.
Kwa hiyo wizi wa simu ni kama kawaida tu. Baadhi ya mafundi simu wameandika tangazo kabisa kuwa pamoja na kutengeneza simu pia anabadili IMEI namba. Sasa je TCRA wanajua hili na kama wanajua ina maana wamezidiwa ujanja na mafundi?
Tunawaomba TCRA watujulishe kuwa haya mambo mawili niliyoyataja yako nje ya uwezo wao na hivyo masimu fake yaendelee kuzagaa kuliko ilivyo kuwa mwanzo. Na wezi nao waendelee tu kuiba simu za watu.
Sent using Jamii Forums mobile app