Mafundi ni wasumbufu, ila hawa wa cherehani wamezidi!!


....mkuu sina nia mbaya ila suti za kushona tatizo koti na has kwenye mabega,kama ulishawahi kuona mtu aliyebobea kwenye pombe kali tena ile haramu basi ndo mara nyingi inakuwa hivyo..........labda kwa ushauri tuu kuna suti toka china bei rahisi sana pita mitaa ya kkoo ujionee.Unanunua asubuhi na kutinga nayo kwenye sherehe jioni.unachofanya ni kupinda chini tuu,hata pasi haziitaji
 
Katavi, fundi mwaminifu ni kinyozi tu. Wengine wote mapepe!
 
Usimpe fundi kitambaa kama haumjui tabia zake
Mimi nilishawai chukua kitambaa kimeshakatwa toka siku iyo tukikubaliana tarehe kama bado anapiga mwenyewe simu lini itakamilika na inakuwa kweli
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…