Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Husninyo, kwa hiyo wewe unavaa nguo gani?Mi nilishaacha kuvaa nguo za kushona.
Ni mwezi wa tano sasa suti yangu haijakamilika, njoo kesho au wiki ijayo ndio jibu nililokuwa napewa kila nikimuona. Ilibidi niazime suti ya kaka wakati wa sherehe iliyokusudiwa niivae hiyo suti. Leo nimeenda kudai kitambaa changu na pesa yangu, nimepigwa na mshangao baada ya kuambiwa na msaidizi wa fundi kuwa suti ilikamilika muda mrefu, lakini ikauzwa..
Alikusudia kawacha kuvaa nguo za "kushonesha" na wala sio kaamua kuvaa lubega tu.Husninyo, kwa hiyo wewe unavaa nguo gani?
Katavi, fundi mwaminifu ni kinyozi tu. Wengine wote mapepe!Ni mwezi wa tano sasa suti yangu haijakamilika, njoo kesho au wiki ijayo ndio jibu nililokuwa napewa kila nikimuona. Ilibidi niazime suti ya kaka wakati wa sherehe iliyokusudiwa niivae hiyo suti. Leo nimeenda kudai kitambaa changu na pesa yangu, nimepigwa na mshangao baada ya kuambiwa na msaidizi wa fundi kuwa suti ilikamilika muda mrefu, lakini ikauzwa..
<br />Husninyo, kwa hiyo wewe unavaa nguo gani?
<br />Hongera...
Mbona hata hivyo ulivyotaja vinashonwa piamashuka na kaniki tu..
Mkuu wangu, hata hawa vinyozi tungekuwa tunawachia vichwa vyetu nao wangekuwa walewaleKatavi, fundi mwaminifu ni kinyozi tu. Wengine wote mapepe!
<br />Mbona hata hivyo ulivyotaja vinashonwa pia
nanunua vishashonwa.