Mafua na chafya za mara kwa mara

FROWIN

JF-Expert Member
Jul 25, 2012
213
84
Wadau naomba ufumbuzi wa hili tatizo ,huwa napiga chafya mara kwa mara ikiambatana na macho kuwasha hii hutokea sio mara zote lakini ikitokea inakuwa kero sana ,nilienda hospitali wakanicheki macho yako safi ila wakaniambia wenda ni alegi ,wakanipa dawa lakini naona tatizo bado linanisibu ,najua hapa hamna kinachoharibika wapo wajuzi na wataalamu wa mambo kama haya naombeni msada wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kapime allerg ujue ni vyakula gani au aina gani ya mafuta kuepuka mimi nilikuwa na tatizo la mafua wakanishauri maziwa nisinywe wala kutumia kitu chenye maziwa pamoja na nyanya sasaivi nipo vizuri nikigusa kimojawapo mafua yananishika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom