Marco Exavery
Member
- Aug 14, 2016
- 31
- 5
Habari!
Ndg mimi nimesumbuliwa na mafua sana nilikuwa na mafua makali nikatumia dawa top plus yakapungua lakini nikashangaa badaa ya siku kadhaa nikawa natoa makamasi mazito kwenye pua la kushoto tena makamasi yenye rangi ya kijani yenye harufu kali some time yamechukua muda sasa like 3 weeks .
Nitumie dawa ngani jamani.
Ndg mimi nimesumbuliwa na mafua sana nilikuwa na mafua makali nikatumia dawa top plus yakapungua lakini nikashangaa badaa ya siku kadhaa nikawa natoa makamasi mazito kwenye pua la kushoto tena makamasi yenye rangi ya kijani yenye harufu kali some time yamechukua muda sasa like 3 weeks .
Nitumie dawa ngani jamani.