Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,376
Pole sana mkuu....inaonekana yalivyokubana mpaka mwandiko nao unatoka kwa sauti ya kimafuamafua.Bie nna mwez sasa bafua yamedibana hatar
Pole sana mkuu....inaonekana yalivyokubana mpaka mwandiko nao unatoka kwa sauti ya kimafuamafua.Bie nna mwez sasa bafua yamedibana hatar
Umetumia nini mkuu, maana mimi yana siku ya nne yameniandama balaaAsanteni sana kwa maelekezo,naona yanapotea
Ulitumia njia gani bimdogo. NatesekaAsanteni sana kwa maelekezo,naona yanapotea
Wiki tatu sasa bafua yagu hayasikii dawaBie nna mwez sasa bafua yamedibana hatar
Yataisha yenyewe tu hayo baada ya siku nne mpaka tano, hakuna dawa ya mafuaWapendwa msaada wa dawa nzuri na ya uhakika ya mafua.
Nimejaribu coldrill hayaponi.
Nimechemsha tangawizi,vitunguu saumu na limao lakini bado.
Uuuwiii nafwaa msaada plz.