- Thread starter
- #21
Naona raia wengi hapa wanayapa kudos!
Naona raia wengi hapa wanayapa kudos!
Tatizo wewe unaona kwa vile mwanaume unaweza kufanya maamuzi tu bila kunishirikishaI wish ningepata hii contribution kabla sijafanya maamuzi.
We si nilikuuliza baby, tuchukue jokofu brand ipi lakini matokeo yake ukasema nikome kukuuliza uliza maswali ya kijnga 😢😭Tatizo wewe unaona kwa vile mwanaume unaweza kufanya maamuzi tu bila kunishirikisha
Haya ndio upambane na hali yako, siku nikihamia kwako hili nitampa mamaWe si nilikuuliza baby, tuchukue jokofu brand ipi lakini matokeo yake ukasema nikome kukuuliza uliza maswali ya kijnga [emoji22][emoji24]
Dah! Baby, hilo Sharp ni kali balaa, yaani lazima uniunge mkono kwa 119% kwamba nilifanya maamuzi sahihi sana!!Haya ndio upambane na hali yako, siku nikihamia kwako hili nitampa mama
Ooh sawaDah! Baby, hilo Sharp ni kali balaa, yaani lazima uniunge mkono kwa 119% kwamba nilifanya maamuzi sahihi sana!!
Bei gani wanauza la mlango mmoja?Ooh sawa, mimi nilinunua boss jeupe...sijawahi kujuta
La mlango mmoja sikumbuki