MmasaiHalisi
Senior Member
- Jan 15, 2009
- 192
- 23
napenda kuchua fursa hii kuwajulisheni watanzania wenzangu mafisadi wengine ambao wanatuibia bila sisi kujua si wengine bali PPF au Parastatal Pension Fund,shirika hili linatuibia sana sisi wanachama wake, kwa mfano kuna mmoja wa wastaafu amestaafu kwa cheo fulani kikubwa mafao aliyolipwa Tsh 3,000,0000/= wakati mstaafu mwingine amestaafu kwa cheo kama cha huyo wa awali amelipwa 45,000,000 kutoka mfuko mwingine wa pension(tunauhifadhi)sasa huu sio wizi na monthly pension unamlipa 25,000.pesa zetu wanakopeshwa akina Manji wakati sio wanachama au wanajenga magorofa makubwa, sisi wastaafu tunataabika sasa tunataka kujua hao PPF wataumia formular gani kucalculate mafao ya wastaafu,kama sio wizi nini?