WAZO2010
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 1,616
- 3,799
Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili, Amani na Haki za Binadamu kwa jamii ya madhehebu ya dini zote nchini, Askofu William Mwamalanga leo Jumapili ametoa siku tatu kwa ‘genge’ alilodai kuwa linamzonga Rais Samia Suluhu na kumlaghai mambo mbalimbali ikiwemo kuutetea mkataba mbovu wa uwekezaji katika bandari ya Dar es Salaam.
“Viongozi wa dini tunatoa siku tatu kwa genge hili linalokula bila kuvuna kuacha kumzonga Rais, la sivyo tutawaja majina wote kwa sababu tunawajua,” Askofu Mwamalanga - Dar
Source: MwanaHalisi Online
“Viongozi wa dini tunatoa siku tatu kwa genge hili linalokula bila kuvuna kuacha kumzonga Rais, la sivyo tutawaja majina wote kwa sababu tunawajua,” Askofu Mwamalanga - Dar
Source: MwanaHalisi Online