Mafisadi kuhamia CHADEMA?


Pongezi kwa Comred Kinana na Makamu Mwenyekiti Bara kuturudishia CCM yetu.
 
Kwanza mtoa Mada unajielewa kwel kama unajielewa basi umekulupuka hivi List mafisadi unaijua ungekaa kimya kama unaijua wapo wangapi
 
Walishahamia tayari na sasa ndiyo wasemaji wa kuu wa chadema, na wameajili vijana mitaani na fb na jf wa kuwasemea
 
ange kimbia mkapa na jk ningesema mafisadi wa mehamia chadema na kwenye list ya mafisadi wapo
 
Una ushahidi na hayo mabilion aloingiziwa mh.mboye,na kwa madhumun hayo uloyataja mkuu?
 
Pesa kuingia kwenye akaunti tu,si ushahidi tosha,suala ni kuwa una ushahidi wa sababu zilizopelekea kuingiziwa hizo Pesa kwa akaunti zake
 
Mboye?
Ushahidi upo soma article vizuri mpaka namba za akaunti na majina ya kampuni yanapatikana!

Tatizo la hawa wapiga dili walikuwa na mipango haramu na nchi yetu siku nyingi. Wamejaribu kuficha maovu yao kupitia mwanvuli wa upinzani siku nyingi kwa kuupinga ufisadi na rushwa hadharani. Kana kwamba haitoshi haohao ndio waliotutangazia orodha ya mafisadi pale mwembeyanga. Mungu huwa hawafichi wanafiki, hatimaye tumejua walichokuwa wanakiwania muda mrefu, tumeanza kuona rangi zao halisi, kumbe ni watu wa dili.

Kuna maneno ya mungu kweye kitabu cha kutoka, namna ya kumpata kiongozi atakayeifaa jamii anayotaka kuitumikia. Mungu anawakataa viongozi wenye kujilimbikizia mali. Lakini watu wanaowaamdaa viongozi wa kuongoza wanatafuta watu wa test yao. Majambazi wanapotaka kuchagua kiongozi wao, hawawezi kumchagua polisi, halikadhalika watu wa dini nao watatafuta mtu wa test yao.

Sasa hawa wapiga dili, muda wote walipokuwa wapinzani walikuwa wanatafuta watu wa test yao kutoka CCM na wamefanikiwa kuwapata, tena wamewapata wale vinara ambao dili moja tu tayari hela zimeanza kuhamishwa, na hapo hawajaingia bado nyumba nyeupe, Je, wakifanikiwa kuiingia nyumba nyeupe itakuwaje? Take care of these hardcore bandits
 
Teh Teh JeiEf katika ubora wake Kumbe jamaa wameanza mkakati wao Long time
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…