This is too much tukutane 2025...hii barabara itatoka na mtu kwenye kiti. Haiwezekani ukanda huu tuzalishe
1. Chai
2. Karatasi
3. Mbao
4. Kahawa
5. Hardboard
6. Pareto
7. Parachichi
8. Nguzo za umeme na simu
9. Mahindi na nafaka kibao
10. Cinchona (miti ya kuzalishia dawa za malaria)
Nk
Lakini miaka nenda rudi mnatupiga kalenda tu mbunge Kihenzile inabidi ujitafakari 2025 haitakuwa rahisi kwako huku Jimboni, tumechoka siasa za kila mwaka lami haiwekwi...
Kama Kihenzile huwa anafanya mawasiliano na Kigahe wafanye watupishe ase,haiingii akilini barabara ya kutoka mafinga to mapanda tanroads walishabomoa nyumba za watu kwa madai ya kuwa wanajenga barabara ya kiwango cha lami tangu mwaka 2012 lakini hadi leo hakuna kitu
This is too much tukutane 2025...hii barabara itatoka na mtu kwenye kiti. Haiwezekani ukanda huu tuzalishe
1. Chai
2. Karatasi
3. Mbao
4. Kahawa
5. Hardboard
6. Pareto
7. Parachichi
8. Nguzo za umeme na simu
9. Mahindi na nafaka kibao
10. Cinchona (miti ya kuzalishia dawa za malaria)
Nk
Lakini miaka nenda rudi mnatupiga kalenda tu mbunge Kihenzile inabidi ujitafakari 2025 haitakuwa rahisi kwako huku Jimboni, tumechoka siasa za kila mwaka lami haiwekwi...
This is too much tukutane 2025...hii barabara itatoka na mtu kwenye kiti. Haiwezekani ukanda huu tuzalishe
1. Chai
2. Karatasi
3. Mbao
4. Kahawa
5. Hardboard
6. Pareto
7. Parachichi
8. Nguzo za umeme na simu
9. Mahindi na nafaka kibao
10. Cinchona (miti ya kuzalishia dawa za malaria)
Nk
Lakini miaka nenda rudi mnatupiga kalenda tu mbunge Kihenzile inabidi ujitafakari 2025 haitakuwa rahisi kwako huku Jimboni, tumechoka siasa za kila mwaka lami haiwekwi...
Ndio huku aisee karatasi za kutosha, mbao, nguzo nk ila miaka nenda rudi lami hawaweki wanaleta siasa tu, wamebandika kalami kidogo hadi Luganga miaka sasa wameishia hapo hawapo tena...barabara inaharibu sana magari na kuchelewesha uchumi huku.
This is too much tukutane 2025...hii barabara itatoka na mtu kwenye kiti. Haiwezekani ukanda huu tuzalishe
1. Chai
2. Karatasi
3. Mbao
4. Kahawa
5. Hardboard
6. Pareto
7. Parachichi
8. Nguzo za umeme na simu
9. Mahindi na nafaka kibao
10. Cinchona (miti ya kuzalishia dawa za malaria)
Nk
Lakini miaka nenda rudi mnatupiga kalenda tu mbunge Kihenzile inabidi ujitafakari 2025 haitakuwa rahisi kwako huku Jimboni, tumechoka siasa za kila mwaka lami haiwekwi...
This is too much tukutane 2025...hii barabara itatoka na mtu kwenye kiti. Haiwezekani ukanda huu tuzalishe
1. Chai
2. Karatasi
3. Mbao
4. Kahawa
5. Hardboard
6. Pareto
7. Parachichi
8. Nguzo za umeme na simu
9. Mahindi na nafaka kibao
10. Cinchona (miti ya kuzalishia dawa za malaria)
Nk
Lakini miaka nenda rudi mnatupiga kalenda tu mbunge Kihenzile inabidi ujitafakari 2025 haitakuwa rahisi kwako huku Jimboni, tumechoka siasa za kila mwaka lami haiwekwi...
Anao huo wajibu tena mkubwa tu. Lobbying ni trait ya kiongozi na kama kashindwa kulobby lami iwekwe eneo strategic kama Mufindi huyo anafaa atupishe tuweke mbunge atakaetuletea barabara.
Huku kila kitu cha kimaendeleo tunafanya kwa bidii kubwa chai,mbao,miti dawa,mitinguzo,hardboard,karatasi nk...ila tunaangushwa na barabara
Mathalani kutoa mzigo mgololo hadi mafinga less than 80 kilometers unaweza kutumia siku nzima sababu ya barabara...hii ni kurudishana nyuma kimaendeleo...
Ndio huku aisee karatasi za kutosha, mbao, nguzo nk ila miaka nenda rudi lami hawaweki wanaleta siasa tu, wamebandika kalami kidogo hadi Luganga miaka sasa wameishia hapo hawapo tena...barabara inaharibu sana magari na kuchelewesha uchumi huku.