Hata Bwege analijua hilo, mjinga msifieMbona kama hizo zipo za kumwaga Haiti na East Timor
Kama nyingi sana hiyo NAULI kulingana na hali ya KIFEDHA kwa sasa na ukizingatia ni Serikali ya Wanyonge au imekuwa Wanyongwa?Mafia kuelekea nyamisati kutoka nyamisati mpaka dar 5500
ile ilikuwa ni siasa ya kuombea kula, imeshapita hivyo sahauHivi huko ni mbunge gani wa upinzani aliyekuwa akiwachelewesha?
Siasa za kichawiile ilikuwa ni siasa ya kuombea kula, imeshapita hivyo sahau
Hahaha you hit the point!Hivi huko ni mbunge gani wa upinzani aliyekuwa akiwachelewesha?
Mv potwe kwa hiyo hatupandi tenaMafia kuelekea nyamisati kutoka nyamisati mpaka dar 5500
Yani magu kaharibu sana Nchi yani meli iliyonunuliwa kwa kodi za Wananchi wote inaandikwa slogan ya CCM ya hapa Kazi tu!.
Nauli imepungua sana wale jamaa wa mbao walikuwa nauli 16000.Kama nyingi sana hiyo NAULI kulingana na hali ya KIFEDHA kwa sasa na ukizingatia ni Serikali ya Wanyonge au imekuwa Wanyongwa?
Meli imewasili tarehe 30 mwezi wa kwanza 2021 japo ni wajibu wa serikali ila kwa hili ahsanteni sanaView attachment 1690236View attachment 1690238View attachment 1690239View attachment 1690240
Pingapinga KAZINIKama nyingi sana hiyo NAULI kulingana na hali ya KIFEDHA kwa sasa na ukizingatia ni Serikali ya Wanyonge au imekuwa Wanyongwa?
Hiyo sio meli ni kivuko cha MV Kilindoni Mkuu.Meli imewasili tarehe 30 mwezi wa kwanza 2021 japo ni wajibu wa serikali ila kwa hili ahsanteni sana.
View attachment 1690236View attachment 1690238View attachment 1690239View attachment 1690240