Mafia tumepata usafiri wa uhakika sasa

chongoe

JF-Expert Member
Mar 22, 2019
1,128
2,717
Meli imewasili tarehe 30 mwezi wa kwanza 2021 japo ni wajibu wa serikali ila kwa hili ahsanteni sana.

FB_IMG_16120353998643975.jpg
FB_IMG_16120353935084956.jpg
FB_IMG_16120353849295327.jpg
IMG_20210130_181540.jpg
 
Yani magu kaharibu sana Nchi yani meli iliyonunuliwa kwa kodi za Wananchi wote inaandikwa slogan ya CCM ya hapa Kazi tu!.
 
Sitokuja kusahau wakati boti inapigwa na wimbi mpaka unatamani utoke nje ukimbie.
Ukichangia boti ni za mbao tu zilizoungwa pamoja na mabati.

Hiyo meli angalau itashawishi watu kuja kutembelea huko mafia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom