Warrant Officer One= Afisa Mteule daraja 1Unamwinda mshua nn... Utungue mafao yake
Sijakuekewa,..???Warrant Officer One= Afisa Mteule daraja 1
Mafao yanapatikana baada ya kukokotoa kiasi alichochangia kwenye huo mfuko wa kijamiiSamahani Wadau hivi Mafao ya mstaafu wa Jeshi ngazi ya Afisa mteule Daraja la Kwanza yanakuwa ni Kiasi gani vile?