Mafanikio yanatoka kwa Mungu

Mafanikio yanatoka kwa Mungu

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,692
Reaction score
14,079
Njia sahihi ni kukaa kimya kwenye utulivu bila kelele wala sauti zozote.

Sehemu ya utulivu....
  • Mwili
  • Nafsi
  • Roho
  • Akili
  • Mawazo
  • Fikra
Vyote kimya angalau nusu saa kwa siku.....ukiweza ongeza muda wa utulivu kwa kadiri utakavyo fanikiwa.....hapo ndio nguvu ya asili iliyomo ndani mwako itakapo fufuka....kukuponya na kukufakisha KATIKA YOTE.
 
Back
Top Bottom