tatanyengo JF-Expert Member Mar 30, 2011 1,134 280 Aug 30, 2012 #1 Wadau wa Sekta ya Elimu jaribuni kupitia mafanikio na changamoto za elimu hapa nchini. EDUCATION SECTOR PERFORMANCE REPORT 201011 (1.08 MB)
Wadau wa Sekta ya Elimu jaribuni kupitia mafanikio na changamoto za elimu hapa nchini. EDUCATION SECTOR PERFORMANCE REPORT 201011 (1.08 MB)
K Kimbori JF-Expert Member Feb 21, 2012 5,458 3,209 Aug 31, 2012 #2 Ahsante sana ndugu. Nitaisoma baadaye, kwani tumezoea kusikia sifa lukuki ili hali wahitimu wasiojua kusoma na kuandika ikiongezeka, n.k
Ahsante sana ndugu. Nitaisoma baadaye, kwani tumezoea kusikia sifa lukuki ili hali wahitimu wasiojua kusoma na kuandika ikiongezeka, n.k
tatanyengo JF-Expert Member Mar 30, 2011 1,134 280 Aug 31, 2012 Thread starter #3 Watanzania wengi hatuna utamaduni wa kusoma ripoti. Nahisi watakaosoma ripoti hii ni wachache.Ingekuwa porojo wengi tungeichagamkia!!!!
Watanzania wengi hatuna utamaduni wa kusoma ripoti. Nahisi watakaosoma ripoti hii ni wachache.Ingekuwa porojo wengi tungeichagamkia!!!!