Yapo mengi tu, baadhi ni;
1. katumia akili nyingi sana kuwashawishi real madrid kuja kuwekeza katka akademi inayojengwa na NSSF
2. Katumia zaidi ya milioni 300 kutengeneza taifa starz maboresho ingawa sijui imeishia wapi
3. kajenga mahusiano mazuri na nchi jirani.. ndo maana hata tumealikwa katika michuano ya COSAFA
4. katika ligi iliyoisha alijitahidi kila timu iwe na timu ya vijana.. ingawa sijajua lengo lake lilikua nini hasa mana hizo timu hazikua na mashindano yao