Habari za saa hizi wanajamii forum,
Mwenzenu natafuta eneo la kujenga kibanda changu cha kuishi na familia yangu,naombeni ushauri wapi naweza kupata kiwanja kwa bei nafuu.Pls pia ningependa kujua gharama za kiwanja kwa eneo husika.
Mkuu eneo linalofaa kwa hapa DSM sasa hivi ni pembezoni kidogo ya mji. Huku kwengine ni majanga labda umvue mtu kwa kuwa na kisu kikali na kama haitoshi kabla ya kununua eneo hilo au nyumba ni vizuri ukaenda ardhi upate mchoro kamili wa jiji ili usije kuingia kwenye mgogoro kama ule wa wakazi wa Boko waliotaka fidia juzi ili wapishe utandazwaji wa bomba kubwa la maji.Habari za saa hizi wanajamii forum,
Mwenzenu natafuta eneo la kujenga kibanda changu cha kuishi na familia yangu,naombeni ushauri wapi naweza kupata kiwanja kwa bei nafuu.Pls pia ningependa kujua gharama za kiwanja kwa eneo husika.
Na hata huko Goba kuna watu wanaviwanja ambavyo walishalipwa fidia zao kuna barabara ya lami inataka kujengwa kutokea Mbezi beach Samaki mpaka Kimara. Usije ukauziwa hivyo mkuu, uliza vizuri kwanza kabla ya kuwekeza pesa yako.Kuna jamaa wananiambia Kigamboni mbele ya geza ulole kuna maeneo, na pia mbezi juu goba.
Vp maeneo hayo??
Njo pugu nikuuzie kiwanja changu tena kwa upendeleo kipo pugu kwa rahisi my no 0712918110 fanya fasta kipo sehemu nzuri sana
Kama unataka kigamboni, vile viwanja vya ule mji wa kigamboni, niPMHabari za saa hizi wanajamii forum,
Mwenzenu natafuta eneo la kujenga kibanda changu cha kuishi na familia yangu,naombeni ushauri wapi naweza kupata kiwanja kwa bei nafuu.Pls pia ningependa kujua gharama za kiwanja kwa eneo husika.
Njoo ununio nikuuzie kiwanja changu mil 50 no negotiation.
Habari za saa hizi wanajamii forum,
Mwenzenu natafuta eneo la kujenga kibanda changu cha kuishi na familia yangu,naombeni ushauri wapi naweza kupata kiwanja kwa bei nafuu.Pls pia ningependa kujua gharama za kiwanja kwa eneo husika.
Nenda pale mbelew ya lango la Ikulu alilotumia OBAMA kuna kiwanja kipo wazi na kinauzwa kwa bei poa kabisa. Kaulizie jamaa anayeitwa Salva kama unataka namba yake niPM.
Habari za saa hizi wanajamii forum,
Mwenzenu natafuta eneo la kujenga kibanda changu cha kuishi na familia yangu,naombeni ushauri wapi naweza kupata kiwanja kwa bei nafuu.Pls pia ningependa kujua gharama za kiwanja kwa eneo husika.
Nenda manispaa ya kibaha. wana viwanja wanauza vya kupima. Iko Maili moja.Habari za saa hizi wanajamii forum,
Mwenzenu natafuta eneo la kujenga kibanda changu cha kuishi na familia yangu,naombeni ushauri wapi naweza kupata kiwanja kwa bei nafuu.Pls pia ningependa kujua gharama za kiwanja kwa eneo husika.
Kivule kuna eneo Kama uko tayari ni pmHabari za saa hizi wanajamii forum,
Mwenzenu natafuta eneo la kujenga kibanda changu cha kuishi na familia yangu,naombeni ushauri wapi naweza kupata kiwanja kwa bei nafuu.Pls pia ningependa kujua gharama za kiwanja kwa eneo husika.