neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,860
- 2,149
KIjichi....kigamboni...toangoma...mbagala....hela yako tu
Toangoma ni wapi mkuu?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
KIjichi....kigamboni...toangoma...mbagala....hela yako tu
Njoo salasala nikuuzie nyumba vyumba vitatu.Ina umeme na maji ya bomba,gari inafika mpaka nyumbani na uwanja sqm 2000,bei 70 milioni.pia kuna kiwanja Wazo kwa mzee Makamba 35*40,bei 25 milioni.Habari za saa hizi wanajamii forum,
Mwenzenu natafuta eneo la kujenga kibanda changu cha kuishi na familia yangu,naombeni ushauri wapi naweza kupata kiwanja kwa bei nafuu.Pls pia ningependa kujua gharama za kiwanja kwa eneo husika.
Ni kiwanja lakini hakipo surveyed ila ni eneo la makazi.Wewe kesho ukipata muda njoo upaone mandhari yake.hicho ni surveyed kiwanja ama shamba?
Kama ulivyoshauriwa na wengine, pembezoni ndio mpango mzima. Utaepukana na kero za kubanana, unajenga kwa nafasi.
Kuna viwanja vilipimwa na serikali miaka ya 2000 maeneo ya Buyuni, njia ya Chanika ulikuwa ni maradi wa viwanaj 20,000 watu wakakimbilia kununua wengine viwanja sita mpaka nane ila kujenga ikawa ngoma. Watu wengine, nikiwamo mimi tumejikongoja na kujenga nyumba na kuhamia kabisa. Sasa kuna watu walionunua viwanja vingi wanauza, unaweza kwenda kwa mtendaji akakupa namba za wauzaji.
Advantage nyingine ya viwanja vya Buyuni ni maji ambayo hayana Chunvi ambayo yanapatikana kwa kuchimba kisima chako maana hakuna Dawasco kule. Kuna watu wameanza kujenga super markets za nguvu na tayari PPF wamekamilisha ujenzi wa nyumba za bei nafuu 641 ambazo ziko sokoni tayari. Barabara ni lami toka mjini na inaendelea kupanuliwa, umeme upo.
Buyuni ni mbele ya gezaulole. Kuna hotel inaotwa amani beach... Ni km kama 50 toka kivukoni kuelekea kigamboniMkuu Buyuni ni wapi huko? Au ni maeneo karibu na Kinyerezi?
Buyuni ni mbele ya gezaulole. Kuna hotel inaotwa amani beach... Ni km kama 50 toka kivukoni kuelekea kigamboni
Nenda pale mbelew ya lango la Ikulu alilotumia OBAMA kuna kiwanja kipo wazi na kinauzwa kwa bei poa kabisa. Kaulizie jamaa anayeitwa Salva kama unataka namba yake niPM.
Habari za saa hizi wanajamii forum,
Mwenzenu natafuta eneo la kujenga kibanda changu cha kuishi na familia yangu,naombeni ushauri wapi naweza kupata kiwanja kwa bei nafuu.Pls pia ningependa kujua gharama za kiwanja kwa eneo husika.
Habari za saa hizi wanajamii forum,
Mwenzenu natafuta eneo la kujenga kibanda changu cha kuishi na familia yangu,naombeni ushauri wapi naweza kupata kiwanja kwa bei nafuu.Pls pia ningependa kujua gharama za kiwanja kwa eneo husika.
Njoo mbezi beach kwa kishua! Upepo unapovuma
Acha utani rafk angu,jamaa kauliza asaidiwe,kama huna cha kuchangia si ukae kimya?
Toangoma ni wapi mkuu?
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Wacha uongo wewe,
Buyuni ni mbele ya Pugu unapita Chanika!
Mkuu Buyuni ni wapi huko? Au ni maeneo karibu na Kinyerezi?