Maeneo ya biashara Mwanza

Financial Analyst

JF-Expert Member
Nov 27, 2017
1,605
2,743
Habari wakuu,

Nina plan ya kufungua duka lenye mchanganyiko wa bidhaa za umeme na ujenzi. (electrical and hardware)

Ila ndio naanza hii biashara , sipo established kivile, naanza kama mid sized shop, so mdogo mdogo tu.

Najua city centre sitapaweza kutokana na Competition ya hali ya juu na kodi za fremu kuwa kubwa.

So ni maeneo yapi pembezoni mwa city centre au nje ya mji, ambapo pame changaamka na patafaa duka langu la electrical na vifaa vya ujenzi.

Nitashukuru kwa michango yenu.
 
Nenda Buzuruga au Pasiansi mwingiliano ni mkubwa. Ila kama una uwezo fanya city center penyewe sababu kodi itamezwa na faida.
 
Back
Top Bottom