Maeneo wananchi wana njaa nchini ni...

cocochanel

Platinum Member
Oct 6, 2007
26,769
73,504
Nawasalimu,

Kwa wanaojua wenye njaa au kushuhudia njaa, itakuwa vizuri kutaja maeneo wananchi wana njaa humu jukwaani.

Lazima kutaja eneo, kama ni Kata au Kijiji au sehemu yoyote itajwe bila kusahau kutaja Mkoa. Majina yao OK wakitaka.


Ukiwa na audio au video clips warekodi wakitaja hayo, usidanganye tu.

Inasomwa kuna njaa, ila wengi hawasikii maeneo yakitajwa. Hivyo tuyataje.

Tusaidie wenye njaa wajulikane na kusaidiwa na wenye kutaka kutoa misaada.

Please taja maeneo sio mengine, blah blah hatutaki kusikia. Labda serikali itasikia pia na kuamini ni ukweli.

Wengi humu mnalalamika juu ya njaa, sasa taja hizo sehemu.

Umoja ni nguvu, JF ipo juu.
 
Nawasalimu,

Kwa wanaojua wenye njaa au kushuhudia njaa, itakuwa vizuri kutaja maeneo wananchi wana njaa humu jukwaani.

Lazima kutaja eneo, kama ni Kata au Kijiji au sehemu yoyote itajwe bila kusahau kutaja Mkoa. Majina yao OK wakitaka.


Ukiwa na audio au video clips warekodi wakitaja hayo, usidanganye tu.

Inasomwa kuna njaa, ila wengi hawasikii maeneo yakitajwa. Hivyo tuyataje.

Tusaidie wenye njaa wajulikane na kusaidiwa na wenye kutaka kutoa misaada.

Please taja maeneo sio mengine, blah blah hatutaki kusikia. Labda serikali itasikia pia na kuamini ni ukweli.

Wengi humu mnalalamika juu ya njaa, sasa taja hizo sehemu.

Umoja ni nguvu, JF ipo juu.
Members wa JF kazi yao ni kupayuka tu ukiwaambia watoe kutoka kwenye mifuko yao hawatokei. Mifano ipo mingi: 1) Wanafunzi waliokuwa wamekwama Urusi, 2) Mafuriko ya Kilosa 3) JF kunyang'anywa neno la Jambo Forums na kubadili kuwa Jamii Forums, 4) Kuiwezesha JF kuwa hewani nk nk members huwa ni wagumu kama sumaku, itakuwa mambo ya njaa. Hizi ni propaganda tu hata kama kuna njaa Serikali ndio inafahamu hasa wapi kuna tatizo na litatatuliwa namna gani. BTW Jan -June mara nyingi kuna hilo tatizo sehemu nyingi lakini sioni Mtanzania yeyote atakayekufa kwa njaa under this Government.
 
Mm nashangaa sana huu ni uvumi tu....nimeenda moro mchele kilo mpaka 700...iringa sahani ya buku ubwabwa haumalizi....so kama kuna njaaa na watu wanalalamika maisha magumu kwanini watu wasifanye bihashara ya kutoa vyakula maeneo kuliipo na chakula na kupeleka maeneo yenye njaa....tuache blah blah siasa zisigeuke chuki.Tutakuja uana kisa matumbo ya wanasiasa.
 
[QUOUwongo "Rwankomezi, post: 19318170, member: 168698"]Mm nashangaa sana huu ni uvumi tu....nimeenda moro mchele kilo mpaka 700...iringa sahani ya buku ubwabwa haumalizi....so kama kuna njaaa na watu wanalalamika maisha magumu kwanini watu wasifanye bihashara ya kutoa vyakula maeneo kuliipo na chakula na kupeleka maeneo yenye njaa....tuache blah blah siasa zisigeuke chuki.Tutakuja uana kisa matumbo ya wanasiasa.[/QUOTE]
... Uwongo wa nini Ndugu? Hiyo bei ya 700 mchele ni Morogoro ipi? Mimi nipo Turiani unakolimwa bei mashine ni 1400...
 
Tatizo letu ni hili; tumesahau kuwa tumejaaliwa neema ya mazao yasiyo na idadi, ila tumeng'ang'ania wali na ugali tu. Eti kwa kuwa mahindi yamepanda bei basi kuna njaa, kuna mkoa fulani wa kaskazini ilionyeshwa kwenye taarifa ya habari wafugaji wakibadilisha mbuzi kwa debe la mahindi!! yanini kuwa na ufahari wa mifugo mingi iliyokonda na kuelemewa na uzito wa pembe! njaa ya kujitakia hii, hivi maana ya kuwa na mifugo lukuki huku ukilia njaa maana yake nini? kama mfugaji anashindwa kuuza sehemu ndogo tu ya mifugo kipindi cha mavuno na kununua akiba ya chakula cha kutosha, hii inatosha kusema kuwa sehemu hii inanjaa?
 
[QUOUwongo "Rwankomezi, post: 19318170, member: 168698"]Mm nashangaa sana huu ni uvumi tu....nimeenda moro mchele kilo mpaka 700...iringa sahani ya buku ubwabwa haumalizi....so kama kuna njaaa na watu wanalalamika maisha magumu kwanini watu wasifanye bihashara ya kutoa vyakula maeneo kuliipo na chakula na kupeleka maeneo yenye njaa....tuache blah blah siasa zisigeuke chuki.Tutakuja uana kisa matumbo ya wanasiasa.
... Uwongo wa nini Ndugu? Hiyo bei ya 700 mchele ni Morogoro ipi? Mimi nipo Turiani unakolimwa bei mashine ni 1400...[/QUOTE]
Huyo jamaa ni muongo+ mchochezi, magugu unapolimwa mchele kg 1 =1500. Hiyo 700 anayosema sijui anadanganya kwa maslai ya nani!?
 
Nimetembea Mbeya, Iringa na Leo Niko Njombe..hakuna habari ya njaa pande hizi. Think vingine ni upuuzi na uzushi tu.

Huku watu wanakula na kusaza. Mvua zimeanza kunyesha. Ntafika Songea ntawapa updates
 
... Uwongo wa nini Ndugu? Hiyo bei ya 700 mchele ni Morogoro ipi? Mimi nipo Turiani unakolimwa bei mashine ni 1400...
Huyo jamaa ni muongo+ mchochezi, magugu unapolimwa mchele kg 1 =1500. Hiyo 700 anayosema sijui anadanganya kwa maslai ya nani!?[/QUOTE]

Atakua kamaanisha nusu kilo mkuu. Msamehe ,itakua typing error
 
... Uwongo wa nini Ndugu? Hiyo bei ya 700 mchele ni Morogoro ipi? Mimi nipo Turiani unakolimwa bei mashine ni 1400...
Huyo jamaa ni muongo+ mchochezi, magugu unapolimwa mchele kg 1 =1500. Hiyo 700 anayosema sijui anadanganya kwa maslai ya nani!?[/QUOTE]
Anadanganya kwa maslahi ya lumumba street
 
Nawasalimu,

Kwa wanaojua wenye njaa au kushuhudia njaa, itakuwa vizuri kutaja maeneo wananchi wana njaa humu jukwaani.

Lazima kutaja eneo, kama ni Kata au Kijiji au sehemu yoyote itajwe bila kusahau kutaja Mkoa. Majina yao OK wakitaka.


Ukiwa na audio au video clips warekodi wakitaja hayo, usidanganye tu.

Inasomwa kuna njaa, ila wengi hawasikii maeneo yakitajwa. Hivyo tuyataje.

Tusaidie wenye njaa wajulikane na kusaidiwa na wenye kutaka kutoa misaada.

Please taja maeneo sio mengine, blah blah hatutaki kusikia. Labda serikali itasikia pia na kuamini ni ukweli.

Wengi humu mnalalamika juu ya njaa, sasa taja hizo sehemu.

Umoja ni nguvu, JF ipo juu.
7dac9f14c7fb62cd980948c40fc5b1b4.jpg
 
Syria kukiwa na vita,akili yenu ina waambia ni nchi nzima ya syria kuna vita.wewe ukishiba unaona wote wameshiba.
 
Back
Top Bottom