Maeneo hatari kwa mkoa wa Dar

Maeneo hatari kwa mkoa wa Dar

Huyu mtu mnayejisifia kuwa yupo JF mara ya mwisho kuonekana hapa ni june 2015....... Sio mwenzenu huyu.. Nendeni fb huko mtamkuta
 
Siku hizi Obama road ocean road kuanzia NIMR hadi Agakhan kuna ulinzi zamani ilikuwa Hatari.
 
Darajani pale kuelekea Mwenge ukitokea Ubungo walinipora simu.

Mwigulu kaanzie pale wanirudishie simu yangu. Ilikuwa aina ya Nokia X2 na ilikuwa na vocha ya voda shilingi 1300.


Pole sana Mkuu ucjal utaipata
 
Kuna watu wanaleta utani lakini mleta.mada alilenga hoja ya.msingi sana. Tujaribu kuwa seriuz kidogo sio leo unaleta utani.halafu kesho unaporwa saa 7 mchana then unaanza kulalamika.
Kila sehemu dar ni hatari Kama haina ulinzi sasa usitake kumpangia kazi waziri suala ni ulinzi shirikishi na kuwataja wezi
Mbona wezi tunaishi nao
 
Maeneo karibia yote ya mwananyamala hatari sana
 
Darajani pale kuelekea Mwenge ukitokea Ubungo walinipora simu.

Mwigulu kaanzie pale wanirudishie simu yangu. Ilikuwa aina ya Nokia X2 na ilikuwa na vocha ya voda shilingi 1300.
Ha ha ha ha kazi anayo
 
Back
Top Bottom