Bodabodafasta
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 372
- 364
Katika mazingira ya kitanzania ni ngumu sana kukua kwa kufurahia maisha kwa kula unachokipenda kukaa sehemu nzuri; kuvaa vizuri; kukutana na watu smart yaani mtu mpaka anakuwa mtu mzima anakuwa na inferiority complex nyingi hadi inaonekana suala la kula bata ni baya; yaani mtu unaweza ukaanza kupenda vitu vizuri; kwenda sehemu nzuri na kuwa na connection nyingi za watu wanakwenda na wakati ukapata upinzani mkubwa sana maana watu hawategemei kama nawe unapenda bata; wanashindwa kujua ukweli mchungu hukua na hela na wazazi wako hawakuwa na hela ndo maana tuliamua kuishi sawa sawa na uwezo wetu;
Sasa kutokana na kutokujua maeneo mazuri ya kutembea na kuona mazingira bora; kula kilicho bora; kucheza mziki; kuogelea; kupumzika hata siku mbili tatu; hata kushangashangaa dunia inavyokwenda sio kila kitu hujui; kwa ujumla sehemu zinazovutia kwa kupumzika weekend ambapo ukipeleka hela yako huwezi juta kulinganisha na ulichopata/ona.
Kwa wazoefu tuambiane wapi naweza kwenda nikaipe roho kitu inapenda; karibuni wadau
Sasa kutokana na kutokujua maeneo mazuri ya kutembea na kuona mazingira bora; kula kilicho bora; kucheza mziki; kuogelea; kupumzika hata siku mbili tatu; hata kushangashangaa dunia inavyokwenda sio kila kitu hujui; kwa ujumla sehemu zinazovutia kwa kupumzika weekend ambapo ukipeleka hela yako huwezi juta kulinganisha na ulichopata/ona.
Kwa wazoefu tuambiane wapi naweza kwenda nikaipe roho kitu inapenda; karibuni wadau