lendila
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 5,806
- 4,370
Maendeleo ya vitu in muhimu sana kwa mh:nasari kuliko utu wa mwanadamu,mh nasari anaunga mkono mikutano ya kisiasa kuzuliwa?anaunga mkono bunge kuzimwa?anaunga mkono ukandamizaji wa Uhuru wa habari?anaunga mkono watu kupotea wakiwa wazima?mh nasari anadhamini maendeleo ya vitu kuliko utu wa mwanadamu?