Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,224
Ccm ndio mngepaswa kumuonea huruma. Maana mlimkata pasipo sababu mkataka afe ka mlivyomfanya marehemu mzee wa kwenda msituni. Ukawa raha sana hutoi pesa, mafuta wala nini ila hilo nyomi sasa hadi raha.
waliomkata walijua kabisa mzee hayuko fit kivile na anatakiwa apumzike,kwani harakati za kampeni si mchezo,na lowasa anaonekana hata kwa macho kuwa yuko so weak,hata kuongea anatumia effort kubwa saa,na hii effect yake itaonekana mda si mrefu....
mtu ambae yuko terminal sick haihitaji mikiki mikiki kama ya kampeni kama bado unampenda