Maendeleo kwa waAfrika mwiko kabisa

Maendeleo kwa waAfrika mwiko kabisa

VERITE-NUE

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
1,481
Reaction score
1,450
Kati ya vitu ambavyo huwa sivielewi ni tabia zetu sisi Waafrika na watu wote wenye asili ya Afrika linapokuja suala la maendeleo, huwa tupo tofauti na watu wa mabara mengine kama Asia na Ulaya.
Ni rahisi sana watu weusi kuungana kuandaa tukio la Nyama Choma kwa gharama yoyote ile lakini ni ngumu kuunganisha nguvu kuanzisha biashara ama kampuni ambayo itakuwa kubwa na yenye nguvu na ushindani. Kwanini?
 
Back
Top Bottom