Maelfu ya wananchi watoa machozi

Robethn

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2015
Posts
2,103
Reaction score
354
Mgombea wa Urais kupitia CCM, Dr John Pombe Joseph Magufuli amezidi kupata wakati mgumu baada ya kila mwanainch kutaka kumshika mkono katika kila eneo analopita kutokana na ubora wake na namna alivyokaribu na wanainchi, wengine hutoa machozi ya furaha wanapomuona Magufuli, kwa kusema kweli huyu ni Chaguo la Mungu.
Umati wa wakazi wa manispaa ya Bukoba wakiwa wamefurika katika viwanja vya Gymkhana kumsikiliza mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli .

Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo kutoa elimu bure
Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli kwa ubora wake
Maelfu ya umati ukimsikiliza Mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli
 
Samahani napita tu kwenye huu uzi wa MaCCM! Magufuri toroka uje baba, toka huko kwa Majizi
 
Unalia kisa hujamshika mkono mgombea urais?jamani!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Unalia kisa hujamshika mkono mgombea urais?jamani!!!!!!!!!!!!!!!!!



................
 
Mbona watu wote wamevaa kijani?

Ndio mnaowaandaa na kuwazomba na kuwalipa wekundu.

Kuna ulaji ccm wakati wa kampeni.

Kura zote wanampa Lowassa.

Imethibitishwa na kulialia kwa POMBE kuwa wanamuunga mkono papo hapo kumbe ni upinzani.
 
Najua walilia na kutokwa na machozi kutokana na ugumu wa maisha, kweli haya ndiyo maisha bora kwa kila m tz
 

Attachments

  • 12003892_940578789348292_1825654936944630501_n.jpg
    47.8 KB · Views: 894
Hao sio wakazi wa hapa bukoba,ni wakazi wa ngara,chato,izimbya,ibwera,nshamba,nk walioletwa na zaidi ya lori 60,na mabus kadha wa kadha,mji ulikuwa umevamiwa na wageni,tunamshukuru MUNGU wameondoka tunaendelea na mapambano mpaka maccm yang'oke,bukoba tunakamsemo ketu ka kiukawaukawa kananasema,"LOWASA GUMA ABAKAZI NA BASHAIJA TULIMU" Ikiwa na maana kwamba,lowasa usihofu wanaume na akina mama wa bkb wakonawe
 
Nshomile wa bukoba wanavyopenda elimu,uwaambie elimu bure mpaka chuo kikuu wachague elimu ya form 4??!!! Bojo bojo,nshomile anafikilia zaidi digrii kuliko hicho ki form 4
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…