tzhello
Senior Member
- Sep 7, 2012
- 114
- 52
Natumia vodafone vf 685 msaada jins ya kuroot
Waheshimiwa mtusaidie jamani,mi nimejaribu na framaroot,kingroot,iRoot lakini bado nimeshindwa,natumia Viwa Max 5 android version 4.4.2 kit kat.
Natumia vodafone vf 685 msaada jins ya kuroot
Waheshimiwa mtusaidie jamani,mi nimejaribu na framaroot,kingroot,iRoot lakini bado nimeshindwa,natumia Viwa Max 5 android version 4.4.2 kit kat.
Mimi nina Samsung GT-S5301. nawezaje kuiroot.?! Msaada tafadhari..
hyo tumia root genius itakubali..nili root SMU hyohyo kwa root genius
samahani, msaada wa app ya kuroot samsung galaxy fame lite GT-S6790 android 4.1.2 Au naweza kutumia hizo hizo zilizoorodheshwa kama Root genius? kwa mwenye kujua anijuze tafadhali.
Vipi kuhusu Tecno H7. Maana huwa natamani sana kuroot simu ila mara ya kwanza niliuwa simu yangu huawei g610 kwa frama root.
jaribu na framaroot
Ok nimeroot simu yangu tecno h7 nikafanikiwa kwa app inayoitwa kingroot, baada ya hapo nikaona chenga tu ikabidi ni unroot.
Waheshimiwa mtusaidie jamani,mi nimejaribu na framaroot,kingroot,iRoot lakini bado nimeshindwa,natumia Viwa Max 5 android version 4.4.2 kit kat.
Waheshimiwa mtusaidie jamani,mi nimejaribu na framaroot,kingroot,iRoot lakini bado nimeshindwa,natumia Viwa Max 5 android version 4.4.2 kit kat.
Dah,Mi nimenyosha mikono yaani nimeshindwa,nimejaribu kila app imegoma kingroot,kingoroot,framaroot,root genious,na nyingine kibao jibu zinasema azi-support kifaa changu,natamani nii-root hii simu,VIWA MAX 5...
chenga kivp? usiroot simu yako kama huna sababu ya kuroot utaona Chenga tu.
Nahisi au naona nahitaji darasa kwanza kabla hilo zoezi aiseee.
Nahisi au naona nahitaji darasa kwanza kabla hilo zoezi aiseee.