maelezo ya hii picha please

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,363
58,386
hapa JK alikuwa bado no mbunge au ?
c1.jpg
 
mi nimempenda cameraman huko nyuma.
bado naitafakari maelezo yake hii picha.
 
Mheshimiwa kabeba nini mkononi? Anaonekana kama anapanda mbegu vile wakati mazingira hayajakaa kishamba shamba!
 
Picha kama hizi 2005 ndio zilituanya tu "judge a book by its cover"
 
Anawaambia "Hata mimi napenda sana kupekua ila hii position ndio inayonifanya nivae viatu full time ila nikiwa chobisi kama huku aa najiachia tu kwa raha zangu".
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom