Habari mkuu
Rakims , mi ni Moja ya watu wachache waliofaidika na elimu zako unazozitoa alhamudillah mungu akulipe nilikuwa nauliza
1. Kwa Nini majini yakitaka kupanda lazima wavalishwe vitambaa cheupe kijani bluu e.t.c? Zile rangi huwaga zina maana gani?
2.je, ni halali au haramu mtu kupandisha jini au kushirikiana nae? mfano kwa wema sio kwa ubaya?
Sifa zote anastahili muumba mbingu na ardhi na ama kwa hakika kwake tutarejea...! Nawasilisha