andate
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 2,651
- 1,006
Rushwa yenye akili haiachagi ushahidi. Ndio maana unaona vigogo wa CCM wala rushwa wanapeta hadi leo. Waliochukua rushwa kipumbavu ndio wanao-umia.Umeongea vizuri sana mwenye ushahidi wake wakuwa umepokea rushwa atoe sio kuleta majungu tu,