Clayton Paul
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 2,136
- 4,411
Toka kwa The Light Keepers
Ni ngumu ndege aliyezaliwa katika uzio kujua nini maana ya uhuru na hata akiachwa mlango ukiwa wazi ni ngumu kumkimbia mfugaji.
Hapo ndipo ulipo mtego wa maisha yetu. Ona huo uzio kama sheria na tamaduni amabazo umewekewa na mtu au watu fulani katika kufanya na kufanikisha jambo. Mfano halisi watu wengi kuamini huwezi kufanikiwa bila elimu au kuajiriwa. "Elimu iligunduliwa na wenye akili wakijua watakao ishika watakuwa ni wasio na akili".
Yote haya wanayafanya kwa kuwa wanajua Kuna mamlaka ya juu Sana ktk umiliki tabia za mwanadam au kuzitabiri. Kupitia Elimu na mitaala wanajua fika utatoka ukiwa mtu wa Aina gani na utaishia Kona gani.
Kwa kuwa fikra zetu ni kujitafakari kwa kike ambacho hatuna na kupuuza tulicho nacho .Basi tunapoteza vikubwa na kukumbatia vidogo.
Kwanini ugumu wa maisha upo ?
Wengi tunafuata na kutii sheria zilizowekwa na walio juu. Kitu kibaya sana tumejifunza, kuzikubali na kuziishi bila kuzihoji hizo sheria. Unapewa njia yenye mipaka kiunafiki.
Sheria au maelekezo hayo ukiyafuata si ajabu ukaangukia pua. Hizo zoote ni Dhana amabazo waliziunda ili kuupangilia ulimwengu kuelekea matakwa Yao.
Yataka Umakini ili ugundue kuwa Dhana ( sheria ) hizo ni kingo za wewe kufanya jambo na kusonga zaidi (Zinazuia mapana ya uwezo wako).
Dhana hizo ni jela halisi wanazoishi raia wengi kwa kujihami Jamii itawaonaje.
Mana unachotaka kufanya ukifanya tofauti na walivyozoeshwa ni utata.
"Kuna njia moja tu katika kuokoa maisha yako ya mbeleni nayo ni KUITENGENEZA" Acha kupita mapito ya watu na kuyafanya kuwa yako. Mfano kusoma vitabu na kupita mferji ule ule wa muhandishi pasipo kwenda mbali zaidi, wakati na Zama zitakuumbua Mana maswali ni yake Yale ila majibu lazima yawe tofauti.
Anguko linakuja pale unapotaka kulazimisha na kuharakisha ili kuwaaminisha watu kuwa upo sahihi.
Unahitaji uvumilivu mkuu maana huwezi kujenga sifa kwa kulazimisha na kushindana na asili hiyo.
UVumilivu una mambo makuu mawili:
1.Utayari
2.Upendo.
Kuwa tayari kuanzisha jambo na elekea vita kuipigania jambo hilo na matokeo yake. "pigania unachopenda, penda unacho kiheshimu na heshimu unachokijua".
Manhesimu Elimu na tafiti msizozijua, hapo mmeyumbishwa na hamkuelimishwa.
Nyuma geuza Quote hiyo, inakuja kuwa:
Unatakiwa kujijua ili Ujiheshimu na kisha kujipenda.
Je unajijua wewe ni nani ?
Ni ngumu ndege aliyezaliwa katika uzio kujua nini maana ya uhuru na hata akiachwa mlango ukiwa wazi ni ngumu kumkimbia mfugaji.
Hapo ndipo ulipo mtego wa maisha yetu. Ona huo uzio kama sheria na tamaduni amabazo umewekewa na mtu au watu fulani katika kufanya na kufanikisha jambo. Mfano halisi watu wengi kuamini huwezi kufanikiwa bila elimu au kuajiriwa. "Elimu iligunduliwa na wenye akili wakijua watakao ishika watakuwa ni wasio na akili".
Yote haya wanayafanya kwa kuwa wanajua Kuna mamlaka ya juu Sana ktk umiliki tabia za mwanadam au kuzitabiri. Kupitia Elimu na mitaala wanajua fika utatoka ukiwa mtu wa Aina gani na utaishia Kona gani.
Kwa kuwa fikra zetu ni kujitafakari kwa kike ambacho hatuna na kupuuza tulicho nacho .Basi tunapoteza vikubwa na kukumbatia vidogo.
Kwanini ugumu wa maisha upo ?
Wengi tunafuata na kutii sheria zilizowekwa na walio juu. Kitu kibaya sana tumejifunza, kuzikubali na kuziishi bila kuzihoji hizo sheria. Unapewa njia yenye mipaka kiunafiki.
Sheria au maelekezo hayo ukiyafuata si ajabu ukaangukia pua. Hizo zoote ni Dhana amabazo waliziunda ili kuupangilia ulimwengu kuelekea matakwa Yao.
Yataka Umakini ili ugundue kuwa Dhana ( sheria ) hizo ni kingo za wewe kufanya jambo na kusonga zaidi (Zinazuia mapana ya uwezo wako).
Dhana hizo ni jela halisi wanazoishi raia wengi kwa kujihami Jamii itawaonaje.
Mana unachotaka kufanya ukifanya tofauti na walivyozoeshwa ni utata.
"Kuna njia moja tu katika kuokoa maisha yako ya mbeleni nayo ni KUITENGENEZA" Acha kupita mapito ya watu na kuyafanya kuwa yako. Mfano kusoma vitabu na kupita mferji ule ule wa muhandishi pasipo kwenda mbali zaidi, wakati na Zama zitakuumbua Mana maswali ni yake Yale ila majibu lazima yawe tofauti.
Anguko linakuja pale unapotaka kulazimisha na kuharakisha ili kuwaaminisha watu kuwa upo sahihi.
Unahitaji uvumilivu mkuu maana huwezi kujenga sifa kwa kulazimisha na kushindana na asili hiyo.
UVumilivu una mambo makuu mawili:
1.Utayari
2.Upendo.
Kuwa tayari kuanzisha jambo na elekea vita kuipigania jambo hilo na matokeo yake. "pigania unachopenda, penda unacho kiheshimu na heshimu unachokijua".
Manhesimu Elimu na tafiti msizozijua, hapo mmeyumbishwa na hamkuelimishwa.
Nyuma geuza Quote hiyo, inakuja kuwa:
Unatakiwa kujijua ili Ujiheshimu na kisha kujipenda.
Je unajijua wewe ni nani ?