Wazo la kabwela
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 1,884
- 1,466
Kuna mtu mwingine anaumwa mara kwa mara, na wengine hata mwaka mzima hawatumii bima zao.
Dhana ya BIMA ni kwamba fedha inayotozwa iwahudumie wachangiaji wanaougua wakati wote wanapokuwa wagonjwa.
Kama shirika linaelekea kuwashinda binafsisheni au uanachama usiwe wa lazima na sio kutumia hoja za kumpangia mtu augue mara ngapi.
Please make it before you fail, it's great shame.
Dhana ya BIMA ni kwamba fedha inayotozwa iwahudumie wachangiaji wanaougua wakati wote wanapokuwa wagonjwa.
Kama shirika linaelekea kuwashinda binafsisheni au uanachama usiwe wa lazima na sio kutumia hoja za kumpangia mtu augue mara ngapi.
Please make it before you fail, it's great shame.