Madume bora yako usukumani

Madume bora yako usukumani

Joined
Jan 17, 2013
Posts
28
Reaction score
3
kwa wanawake wote ambao mna ndoto ya kuwa na famila bora zingatieni hili. wasukuma wamejaaliwa
1-warefu
2-maumbo makubwa
3-mvuto
4-wakarimu
5-wapore
6-wametulia
7-wanajua kupenda
8-wachapakazi
9-sio wagomvi kama wakurya
10-hawana tamaa kama wachaga
11-hawajazubaa kama waha
12-na vyombo wanavyo!
13- IQ ishawarejea sio kama zamani
unasubiri nini sasa we mwanamama unayehitaji kuwa miongoni mwa watu wenye uzao bora?
nicheki kwenye facebook kwa id ya jitindejangongwa kwa msaada zaidi
 
Wasukuma wasukuma! Kwani wanazaliwa na baba na mama mmoja ?khaa! I love u mmakonde wangu! Haahaa!
 
Ya ni kweli mkuu Madume ya ng'ombe ya usukumani ni tofauti sana na sehemu zingine, huwa yanajitahidi sana hata kwenye kilimo aisee. Madume ya Ng'ombe wa sehemu zingine ni lege lege kabisa!
 
Na wengi wao wana MIKONO YA SWETA which is not hygenic!
 
Hizi kampeni za wasukuma jamani......sijui niwekee uzoefu wangu juu ya hao.
 
kwa wanawake wote ambao mna ndoto ya kuwa na famila bora zingatieni hili. wasukuma wamejaaliwa
1-warefu
2-maumbo makubwa
3-mvuto
4-wakarimu
5-wapore
6-wametulia
7-wanajua kupenda
8-wachapakazi
9-sio wagomvi kama wakurya
10-hawana tamaa kama wachaga
11-hawajazubaa kama waha
12-na vyombo wanavyo!
13- IQ ishawarejea sio kama zamani
unasubiri nini sasa we mwanamama unayehitaji kuwa miongoni mwa watu wenye uzao bora?
nicheki kwenye facebook kwa id ya jitindejangongwa kwa msaada zaidi

...sina shaka wewe ni msukuma
 
Ya ni kweli mkuu Madume ya ng'ombe ya usukumani ni tofauti sana na sehemu zingine, huwa yanajitahidi sana hata kwenye kilimo aisee. Madume ya Ng'ombe wa sehemu zingine ni lege lege kabisa!

haahaa! Umencheksha saana!
 
mmh hapa kazi ipo, maana naona sasa hii ni wiki ya pili, huku mitaani ndio usiseme yaani Msukuma ndio mpango mzima.
 
Kwa xperiens yangu kuishi huku Bara, wapo wasukuma walevi, washamba na wife-beaters vilevile...
 
Wakati nasoma spesho skuli flani wasukuma ndio waliokua wakisifika kwa kushindwa kulenga tundu la choo, maelezo niliyoyapata ni kua wao hawajazoea kujisaidia 'ndani' wamezoea za upenuni bin machakani..Ngosha Balantanda na Steve Dii watanisaidia..Hivo wadada kueni na subira nao...he he he heeee/
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom