wadau mambo vipi?sina budi kuja kwenu na kuwashukuru!nimepata vivalo vya nguvu maeneo ya kinondoni muslim,nimefika mwenge na kijitonyama pia nimevamia kariakoo nimekuta vitu bei rahisi sana hadi nikawa siamini!
nashukuru sana tena sana nimeamini jf ni zaidi ya jukwaa!
kwa heshma na taadhima nipeni viuno vyenu ili nipate size ya zawadi zenu pia,najua mkono mtupu haurambwi!
thanx!