Kassim Awadh
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 884
- 187
watu wa Majungu, hata cheo cha boss wako unashindwa kukitaja inavyotakiwa
mwema mwenyewe muda wake wa kustaafu umepita nadhan ulitakiwa uanzie kumwambia rais hata mwema nae aende nyumban IGP mpya ateuliwe......... tunasali tu asiwe kamuhanda maana tutapata tabu!!
Katika mwendelezo wa ukabila, uswahiba Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Said Ally Mwema amemkumbatia na kuendelea kumwacha katika utumishi Kamishna Msaidizi wa Polisi - ACP Grace Ngassa ambaye kimsingi alistaafu kazi tangu Julai 2012.
Acp Grace Ngassa kwa sasa analiwakilishi Jeshi la Polisi Tanzania katika ulinzi wa amani jimbo la Darfur nchini Sudan, uwakilishi ambao kigezo cha kwanza ni lazima uwe askari polisi uliye katika utumishi. ACP Ngassa ambaye kashalipwa mafao yake ya kustaafu baada ya Katibu mkuu kutoa kibali chake cha kustaafu anatajwa kubebwa na IGP kwa sababu ya kabila lake kuwa moja na Mwema.
Mwema pia kwa misingi ya uswahiba amekuwa akimbeba kamishna msaidizi mwandamizi SACP Zelothe Stephen ambaye yuko katika mkataba kwa mara ya tatu na sasa amempa madaraka ya u-RPC Mtwara.
mwema mwenyewe muda wake wa kustaafu umepita nadhan ulitakiwa uanzie kumwambia rais hata mwema nae aende nyumban IGP mpya ateuliwe......... tunasali tu asiwe kamuhanda maana tutapata tabu!!
Asante kwa kutoa lako la moyoni. Kumpa mkataba wa kazi Zelothe kwangu naona kafanya sawa na inamwongezea credit IGP; kubali usikubali Zelothe ni jembe. Namkumbuka sana akiwa Mwanza watu wa Mwanza walipata usingizi kuliko vipindi vya ma RPC wengine. Zelothe alikuwa anakwenda patrol mwenyewe usiku, nisijue utendaji wake kwa sasa huko Mtwara bado kwangu namwona bado anaweza kutoa mchango wake kwa taifa lake kwa fani yake ya uaskari. Huyo mwanamke mwingine wa Dafur no comment.
Asante kwa kutoa lako la moyoni. Kumpa mkataba wa kazi Zelothe kwangu naona kafanya sawa na inamwongezea credit IGP; kubali usikubali Zelothe ni jembe. Namkumbuka sana akiwa Mwanza watu wa Mwanza walipata usingizi kuliko vipindi vya ma RPC wengine. Zelothe alikuwa anakwenda patrol mwenyewe usiku, nisijue utendaji wake kwa sasa huko Mtwara bado kwangu namwona bado anaweza kutoa mchango wake kwa taifa lake kwa fani yake ya uaskari. Huyo mwanamke mwingine wa Dafur no comment.
watu wa Majungu, hata cheo cha boss wako unashindwa kukitaja inavyotakiwa
Jadili hoja mkuu ni yakweli au sikweli?
mwema mwenyewe muda wake wa kustaafu umepita nadhan ulitakiwa uanzie kumwambia rais hata mwema nae aende nyumban IGP mpya ateuliwe......... tunasali tu asiwe kamuhanda maana tutapata tabu!!