HisiaZAkweli
Member
- Nov 2, 2010
- 36
- 8
Habari;
Nimesikitishwa na taarifa iliyotolewa na ITV kuwa lile gari lililokua limebeba wagonjwa kutoka moshi(lililotolewa na MH ndesamburo) kwenda semunge kwa babu lilmerudishwa kwa kua ati si la kubeba abiria.
Mamlaka iliyo chini ya mkuu wa mkoa inadai lile gari si la kubeba abiria bali wanyama japo lina vibali vyote vya kubeba watalii nchi nzima na kwenda popote.
Cha kushangaza walirudi makawao Moshi kwa kutumia gari HILOx2 bila bugudha???
je suala ni gari? au nani katoa huo msaada ndo kikwazo???
Nimesikitishwa na taarifa iliyotolewa na ITV kuwa lile gari lililokua limebeba wagonjwa kutoka moshi(lililotolewa na MH ndesamburo) kwenda semunge kwa babu lilmerudishwa kwa kua ati si la kubeba abiria.
Mamlaka iliyo chini ya mkuu wa mkoa inadai lile gari si la kubeba abiria bali wanyama japo lina vibali vyote vya kubeba watalii nchi nzima na kwenda popote.
Cha kushangaza walirudi makawao Moshi kwa kutumia gari HILOx2 bila bugudha???
je suala ni gari? au nani katoa huo msaada ndo kikwazo???