Madudu aliyoyafanya Kikwete na watu wake yataendelea kulitesa Taifa hili miaka mingi sana

GuDume

JF-Expert Member
Jan 18, 2015
6,652
14,247
kikwete.... huyu ni mmoja ya maraisi waliliangamiza sana taifa hili. tuwe tunaambiana tu ukweli maana ukweli utatuweka huru. suala la lugumi nadhani sasa limesikiwa.. kange lugola anasema lugumi hakuwa na kosa. nani alikuwa na kosa? amesema serikali.

juzi juzi kikwete alienda ikulu kuonana na rais. na baada ya yeye kuonana naye ndo limekuja hili tamko.kwa nini ?kuna mambo ilibidi akayaweke sawa huko.lugumi alitumika nyuma yake walikuwepo watu wakubwa.

Richmond,IPTL, EPA etc. Mikataba mibovu, Mauaji ya tembo kupata pembe za ndovu,madawa ya kulevya,uuzwaji wa wanyama nje ya nchi na kashfa nyingine nyingi sana. haya mambo ndugu kikwete aliyaacha yatende yeye akiwa anajua yanavyotendeka .... mchakato wa kupata katiba mpya ulijawa na ufisadi mkubwa sana. haupigiwi kelele sababu walaji walikuwa wengi .. wabunge walifaidika sana na ule mchakato unadhani watasema nini? zaidi ya kutamani kikwete arudi madarakani?

serikali ya kikwete ilijua kula na watu.. watu wanaipenda sababu waliachiwa kila mtu ale kutokana na urefu wa kamba yake. hazina tunajua hakukuwa na pesa maana zoooote zilimalizwa wakati mkapa alipoondoka aliacha pesa nyingi hazina. ndugu yetu kikwete alituachia madeni na ndo kuna pesa zililiwa. leo hii kuna watu wanasema wanamkumbuka kikwete. ni sawa kabisa si ajabu.

kuna watu wanamkumbuka sana mobutu sese seko wa zaire. na wanatamani angeeendelea kuwepo zaire maana wangefika mbali. lakini nchi ililiwa kipindi cha kikwete kuliko kipindi kingine chochote katika historia ya nchi hii. na hii mizigo ndiyo aliyokuja kuibeba magufuli.na sometime inamlemea anajikuta kumbe shughuli ni nzito sana.

kwa nini Magufuli anashambuliwa sana (sisemi he is innocent) anashambuliwa sababu yeye alikataa kuwalipa baadhi ya wasemaji wakubwa upande wa upinzani. hamkumbuki zitto alikuwa ni mmoja ya waliokuwa mwanzo wanamuunga sana mkono magufuli?mpaka wenzake wanasusia bunge yeye anabaki?

magufuli hakutaka kuendelea kuwalipa wapinzani ili wasimseme kwa mabaya kama mtangulizi wake. na hapo ndipo alipokorofishana na akina zitto.ambaye kwa kiasi kikubwa pesa imekata.sasa amekuwa mchungu hasa baada ya safu ya uongozi wake kumeguliwa... utagundua wanasiasa ni watu ambao hawapiganii maslah ya wananchi hata siku moja.

wacha moto uwake.
 
kikwete.... huyu ni mmoja ya maraisi waliliangamiza sana taifa hili. tuwe tunaambiana tu ukweli maana ukweli utatuweka huru. suala la lugumi nadhani sasa limesikiwa.. kange lugola anasema lugumi hakuwa na kosa. nani alikuwa na kosa? amesema serikali.

juzi juzi kikwete alienda ikulu kuonana na rais. na baada ya yeye kuonana naye ndo limekuja hili tamko.kwa nini ?kuna mambo ilibidi akayaweke sawa huko.lugumi alitumika nyuma yake walikuwepo watu wakubwa.

Richmond,IPTL, EPA etc. Mikataba mibovu, Mauaji ya tembo kupata pembe za ndovu,madawa ya kulevya,uuzwaji wa wanyama nje ya nchi na kashfa nyingine nyingi sana. haya mambo ndugu kikwete aliyaacha yatende yeye akiwa anajua yanavyotendeka .... mchakato wa kupata katiba mpya ulijawa na ufisadi mkubwa sana. haupigiwi kelele sababu walaji walikuwa wengi .. wabunge walifaidika sana na ule mchakato unadhani watasema nini? zaidi ya kutamani kikwete arudi madarakani?

serikali ya kikwete ilijua kula na watu.. watu wanaipenda sababu waliachiwa kila mtu ale kutokana na urefu wa kamba yake. hazina tunajua hakukuwa na pesa maana zoooote zilimalizwa wakati mkapa alipoondoka aliacha pesa nyingi hazina. ndugu yetu kikwete alituachia madeni na ndo kuna pesa zililiwa. leo hii kuna watu wanasema wanamkumbuka kikwete. ni sawa kabisa si ajabu.

kuna watu wanamkumbuka sana mobutu sese seko wa zaire. na wanatamani angeeendelea kuwepo zaire maana wangefika mbali. lakini nchi ililiwa kipindi cha kikwete kuliko kipindi kingine chochote katika historia ya nchi hii. na hii mizigo ndiyo aliyokuja kuibeba magufuli.na sometime inamlemea anajikuta kumbe shughuli ni nzito sana.

kwa nini Magufuli anashambuliwa sana (sisemi he is innocent) anashambuliwa sababu yeye alikataa kuwalipa baadhi ya wasemaji wakubwa upande wa upinzani. hamkumbuki zitto alikuwa ni mmoja ya waliokuwa mwanzo wanamuunga sana mkono magufuli?mpaka wenzake wanasusia bunge yeye anabaki?

magufuli hakutaka kuendelea kuwalipa wapinzani ili wasimseme kwa mabaya kama mtangulizi wake. na hapo ndipo alipokorofishana na akina zitto.ambaye kwa kiasi kikubwa pesa imekata.sasa amekuwa mchungu hasa baada ya safu ya uongozi wake kumeguliwa... utagundua wanasiasa ni watu ambao hawapiganii maslah ya wananchi hata siku moja.
President Magufuli ataendelea kuwa the best President.
 
kikwete.... huyu ni mmoja ya maraisi waliliangamiza sana taifa hili. tuwe tunaambiana tu ukweli maana ukweli utatuweka huru. suala la lugumi nadhani sasa limesikiwa.. kange lugola anasema lugumi hakuwa na kosa. nani alikuwa na kosa? amesema serikali.

juzi juzi kikwete alienda ikulu kuonana na rais. na baada ya yeye kuonana naye ndo limekuja hili tamko.kwa nini ?kuna mambo ilibidi akayaweke sawa huko.lugumi alitumika nyuma yake walikuwepo watu wakubwa.

Richmond,IPTL, EPA etc. Mikataba mibovu, Mauaji ya tembo kupata pembe za ndovu,madawa ya kulevya,uuzwaji wa wanyama nje ya nchi na kashfa nyingine nyingi sana. haya mambo ndugu kikwete aliyaacha yatende yeye akiwa anajua yanavyotendeka .... mchakato wa kupata katiba mpya ulijawa na ufisadi mkubwa sana. haupigiwi kelele sababu walaji walikuwa wengi .. wabunge walifaidika sana na ule mchakato unadhani watasema nini? zaidi ya kutamani kikwete arudi madarakani?

serikali ya kikwete ilijua kula na watu.. watu wanaipenda sababu waliachiwa kila mtu ale kutokana na urefu wa kamba yake. hazina tunajua hakukuwa na pesa maana zoooote zilimalizwa wakati mkapa alipoondoka aliacha pesa nyingi hazina. ndugu yetu kikwete alituachia madeni na ndo kuna pesa zililiwa. leo hii kuna watu wanasema wanamkumbuka kikwete. ni sawa kabisa si ajabu.

kuna watu wanamkumbuka sana mobutu sese seko wa zaire. na wanatamani angeeendelea kuwepo zaire maana wangefika mbali. lakini nchi ililiwa kipindi cha kikwete kuliko kipindi kingine chochote katika historia ya nchi hii. na hii mizigo ndiyo aliyokuja kuibeba magufuli.na sometime inamlemea anajikuta kumbe shughuli ni nzito sana.

kwa nini Magufuli anashambuliwa sana (sisemi he is innocent) anashambuliwa sababu yeye alikataa kuwalipa baadhi ya wasemaji wakubwa upande wa upinzani. hamkumbuki zitto alikuwa ni mmoja ya waliokuwa mwanzo wanamuunga sana mkono magufuli?mpaka wenzake wanasusia bunge yeye anabaki?

magufuli hakutaka kuendelea kuwalipa wapinzani ili wasimseme kwa mabaya kama mtangulizi wake. na hapo ndipo alipokorofishana na akina zitto.ambaye kwa kiasi kikubwa pesa imekata.sasa amekuwa mchungu hasa baada ya safu ya uongozi wake kumeguliwa... utagundua wanasiasa ni watu ambao hawapiganii maslah ya wananchi hata siku moja.

wacha moto uwake.
Mnara wa Babeli, mmeshaanza kupoteana lugha.
 
Mwanyi kuua viwanda

Mkapa kuuza viwanda na kukaribisha wawekezaji wanyonyaji na kutengeneza sheria mbovu

Kikwete kuuza nchi na kwenda kubembea ulaya

Uyu naye ameanza kuuza nchi kwa kujificha kwenye mgongo wa ujenzi

Kwa kushiriki direct na indirect kwenye tenda za ujenzi kama uwanja wa ndege chato

Atakayekuja naye atakuja analia lia hivyo hivyo

Taasisi ya Urais iliyo laaniwa

Mwinyi pamoja aliua viwanda,ila Maisha yalikua bomba bwana...embu angalia bei ya sukari sasa hivi,lol
 
Mie bado nakumbuka jinsi "stone" alivowasifia wale "wezi" wa barrick ati ndio "wanaume"!

Binafsi, ni kauli iliyonikatisha tamaa sana juu ya mapambano dhidi ya ufisadi na uhujumu uchumi.
 
Mwinyi pamoja aliua viwanda,ila Maisha yalikua bomba bwana...embu angalia bei ya sukari sasa hivi,lol
Mwinyi pamoja aliua viwanda,ila Maisha yalikua bomba bwana...embu angalia bei ya sukari sasa hivi,lol
yeah but hawezi kusamehewa kwa yanayoendelea sasa angekuwa na uchungu angetengeneza mifumo mizuri ya kisera na kisheria kipindi chake ingefuatwa mpaka leo
 
kikwete.... huyu ni mmoja ya maraisi waliliangamiza sana taifa hili. tuwe tunaambiana tu ukweli maana ukweli utatuweka huru. suala la lugumi nadhani sasa limesikiwa.. kange lugola anasema lugumi hakuwa na kosa. nani alikuwa na kosa? amesema serikali.

juzi juzi kikwete alienda ikulu kuonana na rais. na baada ya yeye kuonana naye ndo limekuja hili tamko.kwa nini ?kuna mambo ilibidi akayaweke sawa huko.lugumi alitumika nyuma yake walikuwepo watu wakubwa.

Richmond,IPTL, EPA etc. Mikataba mibovu, Mauaji ya tembo kupata pembe za ndovu,madawa ya kulevya,uuzwaji wa wanyama nje ya nchi na kashfa nyingine nyingi sana. haya mambo ndugu kikwete aliyaacha yatende yeye akiwa anajua yanavyotendeka .... mchakato wa kupata katiba mpya ulijawa na ufisadi mkubwa sana. haupigiwi kelele sababu walaji walikuwa wengi .. wabunge walifaidika sana na ule mchakato unadhani watasema nini? zaidi ya kutamani kikwete arudi madarakani?

serikali ya kikwete ilijua kula na watu.. watu wanaipenda sababu waliachiwa kila mtu ale kutokana na urefu wa kamba yake. hazina tunajua hakukuwa na pesa maana zoooote zilimalizwa wakati mkapa alipoondoka aliacha pesa nyingi hazina. ndugu yetu kikwete alituachia madeni na ndo kuna pesa zililiwa. leo hii kuna watu wanasema wanamkumbuka kikwete. ni sawa kabisa si ajabu.

kuna watu wanamkumbuka sana mobutu sese seko wa zaire. na wanatamani angeeendelea kuwepo zaire maana wangefika mbali. lakini nchi ililiwa kipindi cha kikwete kuliko kipindi kingine chochote katika historia ya nchi hii. na hii mizigo ndiyo aliyokuja kuibeba magufuli.na sometime inamlemea anajikuta kumbe shughuli ni nzito sana.

kwa nini Magufuli anashambuliwa sana (sisemi he is innocent) anashambuliwa sababu yeye alikataa kuwalipa baadhi ya wasemaji wakubwa upande wa upinzani. hamkumbuki zitto alikuwa ni mmoja ya waliokuwa mwanzo wanamuunga sana mkono magufuli?mpaka wenzake wanasusia bunge yeye anabaki?

magufuli hakutaka kuendelea kuwalipa wapinzani ili wasimseme kwa mabaya kama mtangulizi wake. na hapo ndipo alipokorofishana na akina zitto.ambaye kwa kiasi kikubwa pesa imekata.sasa amekuwa mchungu hasa baada ya safu ya uongozi wake kumeguliwa... utagundua wanasiasa ni watu ambao hawapiganii maslah ya wananchi hata siku moja.

wacha moto uwake.
Ulishaambiwa waache wazee wapumzike
 
Mwenye uwashangaa sana watu wanadai wana mu-hamu kikwete uwafikilia hawana faida kwa jamii kwa madudu aliyoyafanya hafai kukumbukwa hata kdgog!
 
Back
Top Bottom