Madrid wametumia uzoefu....

Madrid wametumia uzoefu....

...mkuu jana nimeamini casilas kaisha,makosa yake mengi yameifanya mechi iwe ngumu kuliko ilivyotarajiwa...

Uko sahihi..Casilas anafungwa magor ya kizembe japo ndo anaaminiwa sana na timu. Amewagharimu wenzake kucheza kwa nguvu kubwa sana kubadilisha matokeo.
 
Watoto walichanganyikiwa mbaya...huku Bale huku ronaldo,mara marcelo,halafu di maria ndo hashikiki...mvua ya magoli ikaanza taratiibu

Ukiangalia vizur Ramos alifunga akiwa huru kabisa mana wao walikuwa bize kiwakaba Bale na Ronaldo.
 
Kweli kabisa lakini nahisi kilichowasukuma Real kutulia ni ule UHASIMU wao pale Madrid Morinho.
 
Last edited by a moderator:
"If you are second, you are Nothing" Bill Shankly
 
Ronaldo played below standard, he was more than weak for the final. Waooo to Marcelo, Ramos and Di Maria.
Di Maria is the world's first class player. Wonderful player

cr7 na bale walkua wagonjwa
 
Back
Top Bottom