Landala
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 997
- 473
Habari za leo ndugu wana JF,
Naomba kufahamishwa idadi ya madiwani wa CHADEMA waliopo kwenye jiji la Dar ni wangapi na kata zao ni zipi.
Baadhi ya kata zinazoongozwa na CHADEMA ni Ubungo,Kimara,Kijitonyama,wadau naomba tujuzane kata zingine ambazo CHADEMA wana madiwani jijini Dar.
Naomba kufahamishwa idadi ya madiwani wa CHADEMA waliopo kwenye jiji la Dar ni wangapi na kata zao ni zipi.
Baadhi ya kata zinazoongozwa na CHADEMA ni Ubungo,Kimara,Kijitonyama,wadau naomba tujuzane kata zingine ambazo CHADEMA wana madiwani jijini Dar.