Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Habari kutoka Bukoba zinasema jana kulikuwa na semina elekezi kwa madiwani wote wa Chadema watokao mkoa wa Kagera.
Hii ni moja ya kazi wanayofanya sasa Chadema nchi nzima katika kuwaweka madiwani wake katika hali ya kufanya kazi na kurudisha fadhila kwa wananchi waliowachagua kwa namna ya kuwatumikia na si kulala kama wale wa kile chama kikongwe.........
Hii ni moja ya kazi wanayofanya sasa Chadema nchi nzima katika kuwaweka madiwani wake katika hali ya kufanya kazi na kurudisha fadhila kwa wananchi waliowachagua kwa namna ya kuwatumikia na si kulala kama wale wa kile chama kikongwe.........